The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
- Thread starter
- #81
Wewe sio msemaji wa Tanzania nzima zungumzia eneo lako hata huyo rais hawezi sema nchi yake haina keroTanzania nzima hamna kero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sio msemaji wa Tanzania nzima zungumzia eneo lako hata huyo rais hawezi sema nchi yake haina keroTanzania nzima hamna kero
Hakuna changamoto/kero hali ni shwari kisiasa safi, kiuchumi kijamii hali safi kabisaWewe sio msemaji wa Tanzania nzima zungumzia eneo lako hata huyo rais hawezi sema nchi yake haina kero
Maiti tu ndo hana keroHakuna changamoto/kero hali ni shwari kisiasa safi, kiuchumi kijamii hali safi kabisa
Kiherehere chao,ujuaji wao, elimu ndogo yao,, kutowalipa vizur police, walimu,jeshi, kutoa Ajira Kwa vijana, kubebana wao Tu hasa mawaziri wale wale, unafik nk, kufanya TISS Mali yao,njuleta uwoga kwenye jamii, kutokuwa na democracy ya kweli,bongo UONGO Tu...Kama mada inavyojieleza hapo juu natamani tuondokane na siasa za mihemko tuje kwenye siasa za hoja. Kuna wanaJF wanatamani kuamua nani wamchague na nani kwa sababu zipi. Nataka tusaidiane kupata sababu za kuacha watu.
Kwa mfano mimi nakaa Goba kwenye huu mtaa naichukia sana CCM kwa kuacha kutatua kero ya maji kwa makusudi kabisa.
Juzi kati hapa kaja Aweso yametoka siku mbili halafu yamepotea. Kwa hali hii lazima niwaadhibu