Pre GE2025 Tuwekee kero za mtaani kwako zinazokufanya uichukie CCM na usiipe kura chaguzi zinazokuja

Pre GE2025 Tuwekee kero za mtaani kwako zinazokufanya uichukie CCM na usiipe kura chaguzi zinazokuja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama mada inavyojieleza hapo juu natamani tuondokane na siasa za mihemko tuje kwenye siasa za hoja. Kuna wanaJF wanatamani kuamua nani wamchague na nani kwa sababu zipi. Nataka tusaidiane kupata sababu za kuacha watu.

Kwa mfano mimi nakaa Goba kwenye huu mtaa naichukia sana CCM kwa kuacha kutatua kero ya maji kwa makusudi kabisa.

Juzi kati hapa kaja Aweso yametoka siku mbili halafu yamepotea. Kwa hali hii lazima niwaadhibu
Kiherehere chao,ujuaji wao, elimu ndogo yao,, kutowalipa vizur police, walimu,jeshi, kutoa Ajira Kwa vijana, kubebana wao Tu hasa mawaziri wale wale, unafik nk, kufanya TISS Mali yao,njuleta uwoga kwenye jamii, kutokuwa na democracy ya kweli,bongo UONGO Tu...
 
ccm inawaambia viongozi wake waibe kila mtu aibe sehemu yake tu walipomuweka, wasivuke mipaka kwa m-ccm mwengine anayeiba mahali pake pa kazi alipowekwa. Hata ajira zikitoka waangalie ndugu zako, marafiki zako, ma x zako kwanza ndipo ufikirie watu wa nje. UBAGUZI NA WIZI WA CCM ndio tatizo kubwa, nitashawishi wengine walikatae hilo JINI CCM, wanabariki DHURMA ndani ya ofisi za umma
 
SILIPENDI HILO LICHAMA YANI NASUBIRI LIJE JITU KUOMBA KURA ZA SERIKALI ZA MITAA HAPA HOME....PU..CGGFXXCOOO..VU
 
La kwanza kuua bima ya afya,Hili wameyumba sana.
Madudu yanatendeka hakuna hatua inachukuliwa zaidi ya "hili nalo mkalitazame"
 
Back
Top Bottom