Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda zaidi

hahahahah kumbe tukiwapenda ndo mnatupelekesha mtakavyo? vibaya hivyo ujue,,,mtoa mada amesema mtudhamini

hahahahhahaha
 
Kitu ambacho bwana Extrovert unatakiwa akifahamu ni kwamba Women are POLYGAMOUS in nature: They are extremely selective and so picky. Yes, this includes, your mother and mine. Mwanamke hukomaa na mwanaume yule ambaye humkakishia ulinzi wake yeye na watoto atakaowazaa.

It's an evolutionary trait and women can't help it. Since times of cavemen women used to go to a guy with a biggest cave and a biggest club (rungu). All this was for her own security. Sasa wewe endelea kuwekeza, halafu atokee muhuni ambaye anampa kuliko wewe, lazima ulie.
 
😅unaongea ukweli sema wanakuchora tu nyuma ya keyboard, huku wamemind kinyama ,sio kidogo
 
Sawa sawa mkuu
 
Uwekeze kwa mwanamke ili iweje! Imekua biashara hiyo mpaka uwekeze
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] la kipepe
 
Sentensi yako ya mwisho ndio kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…