General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Baada ya kusoma hii mada nimemcheki dem wangu niliye mpotezea kwa siku 2,
Ananipenda sanaaa
Ananipenda sanaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeee, hii dunia hata hivyo sio yetu...acha tuendelee kupambana...tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana[emoji16][emoji16][emoji16] huwezi kujua kuwa unampenda mtu mpaka ushikwe masikio
Naweka lamination kabisaUzuri mwanamke akiwa uninterested from the very start anakuwa na vikwazo tu ama mizingulizi!
Sema wanaume wapumbavu wanaona ndio fursa ya kutumia hela sasa kuwashawishi na kweli hapo mwanamke unaweza ku twist akili yake sababu nae anahisi atanufaika na hela zako.
Ni kweli utamlainisha kwa noti ila tu tunapojisahau ni kuwa yule mwanamke hakukupenda from the very start.
Uliamsha hisia zake kwa nguvu ya dola tu. Matokeo yake ni kuwa siku supply ya hela ikikata na supply ya mapenzi inakata! Hapo unajikuta tayari ulishalewa na penzi hujielewi kabisa unaanza kulia lia.
Utamlaumu bure kwa vitimbwi vyake ila kimsingi kilichomfanya aje kwako hakioni tena na the bad thing ni kuwa wengi wanakuwa tayari wana connection za kihisia na wanaume wengine.
So unakuta zile genuine feelings ziko kwa bill nass ila boss Ruge anakula mzigo kwa sababu tu anampa connections za deals na shows!
Hata boss Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaipiga kwa siri na nyumba angejengewa kwa hela za boss Ruge tu.
Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda jamani!
Nature,,,wewe jamaa una akili sana au tuseme chemistry hazijakubaliChief sometimes mahusiano huwa yana vunjika tu with no reason cuz nature inakuwa haiwahitaji muendelee kuwa pamoja
kwa hyo mama totoo hawez kufanya ngono??Na ngono nnayotaka utakata nikafate wapi Sasa,
Humu Jf au?[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app