Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda zaidi

[emoji16][emoji16][emoji16] huwezi kujua kuwa unampenda mtu mpaka ushikwe masikio
Weeee, hii dunia hata hivyo sio yetu...acha tuendelee kupambana...tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana
 
Naweka lamination kabisa
 
Chief sometimes mahusiano huwa yana vunjika tu with no reason cuz nature inakuwa haiwahitaji muendelee kuwa pamoja
Nature,,,wewe jamaa una akili sana au tuseme chemistry hazijakubali

teh teh najiona hapo hahahahhahahahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhaaaaa
 
Nakazia hapo MKUU
Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda- pochi linakataga.. shukrani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…