Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Huyu Thomas Benedicto A.K.A Thomas Ben mbona kila mahali anaibuka?
Kariakoo alivua nguo kuzuia meza zisihamishwe,ghafla ni mwenyeji wa soko la Karume na kashuhudia mateja wanasababisha moto😁😁😁
Ila hizi hadithi za Alfa Lela Ulela muhimu sistem mjipange,mnakurupuka mno!
Kariakoo alivua nguo kuzuia meza zisihamishwe,ghafla ni mwenyeji wa soko la Karume na kashuhudia mateja wanasababisha moto😁😁😁
Ila hizi hadithi za Alfa Lela Ulela muhimu sistem mjipange,mnakurupuka mno!