Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanaopenda picha kali dawa yao imepatikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanaopenda picha kali dawa yao imepatikana
Ni fake sana.Yani ufeki mwingi sana!!
[emoji23][emoji23]Nipo najaribu sura za watu hapa
Yaani nacheka[emoji23]
Ni rahisi kugundua, sema lazima yatatokea majinga na yatapigwa pesa za nauli 🤣🤣Yani ufeki mwingi sana!!
Nimejaribu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shogare staki mie Ndio nini sasa kha🤣🙌Og yake hiyo 👇ni hatareee
🤣🤣🤣Uzi unahitaji uwe na sample za picha ila mmekalia maneno tu, kwendeni zenu.
🤣🤣🤣Shogare staki mie Ndio nini sasa kha🤣🙌
Anne Naomba nione uvojilab mchana Wangu uanze vizuri pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Nimejaribu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dadeq mwili na location tushapewa.
Bado miili mingine mipya tutapewa mbinguni
Angalia huko juu zipo mbonaUzi unahitaji uwe na sample za picha ila mmekalia maneno tu, kwendeni zenu.
Akisema anitumie picha huwa naweka kigezo, atume ambayo haiko editedNdugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
Na wewe ukiambiwa utume pesa, utume na ya kutolea 🤣🤣Akisema anitumie picha huwa naweka kigezo, atume ambayo haiko edited
Hilo ni jukum langu siwezi acha ikiwa utelezi napataNa wewe ukiambiwa utume pesa, utume na ya kutolea [emoji1787][emoji1787]
Hahaaa, wameshindwa kuweka hata zao tuone hiyo Photolab ni nini huko Daslama.Uzi unahitaji uwe na sample za picha ila mmekalia maneno tu, kwendeni zenu.
Nilishaweka mbona[emoji1787]Anne Naomba nione uvojilab mchana Wangu uanze vizuri pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saint Anne umewahi kufuta naombapo nione !
Rudia tena sijaonaNilishaweka mbona[emoji1787]