Tuweni serious

Brilliant
 
Kama baba yako angesema Mke hana guarantee usingekuwa naye huyo mama.
 
This is stupid. Wafanye wazazi wako waishi vizuri siku walizobakiza hapa duniani
Am not responsible for that. I got a family to take care of. Ila nnapoweza, nawasaidia kama nnavomsaidia mtu mwingine yeyote. Siwezi kuacha kulipa ada ya mwanangu ili nimtumie baba pesa ya kupaua kibanda chake. Thanks.
 
Am not responsible for that. I got a family to take care of. Ila nnapoweza, nawasaidia kama nnavomsaidia mtu mwingine yeyote. Siwezi kuacha kulipa ada ya mwanangu ili nimtumie baba pesa ya kupaua kibanda chake. Thanks.
Hujaambiwa uache majukumu ya familia ili umpe baba nimekuambia mjumlishe humu kama mmoja wa familia yako
 
Hujaambiwa uache majukumu ya familia ili umpe baba nimekuambia mjumlishe humu kama mmoja wa familia yako
Sasa namjulishaje kama mmoja wa familia yangu akati nae anafamilia yake! Sababu yeye ana mke na watoto wake, na anawajibika kwa hao. Mimi nae nnamke na watoto wangu, nnawajibika kwa hao. My brother, usilegeze maisha kwa kutegemea watoto waje wakusaidie. Utakuwa unawapa mzigo usio wastahili. Hao watoto nao watakua na watakuwa na majukumu yao. Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Mie ni mwanamke
 
Sikusemi vibaya ndugu mwandishi ila Kuna kila dalili wewe ni masikini kama Mimi tu. Au unanizidi kidogo umasikini.

Usiwape ndugu lawama za umasikini wako!! Pambana uvunje poverty circle.

Kwahiyo we ukisaidiwa na shemeji yako utakataa?

Hivi hujui msemo kuwa familia unayo iunda ndio yako kuliko uliyotoka?
 
Why my dear
Ni vigumu kumtenganisha mtoto wa kike na mzazi. Hata wanavosemaga kwenye ndoa pesa ya mwanamke haionekani uwa inarudishwa kwa wazazi. Na hiyo ni kwasababu mwanaume yupo atacovet kila kitu🙂
 
Duniani wote ni maskini tu ila kwenye kusaidia wote tunajitahidi
 
Ni vigumu kumtenganisha mtoto wa kike na mzazi. Hata wanavosemaga kwenye ndoa pesa ya mwanamke haionekani uwa inarudishwa kwa wazazi. Na hiyo ni kwasababu mwanaume yupo atacovet kila kitu🙂
Nikiolewa nitapenda wazazi wote nitawasadia sana sintoangalia yupi ni wangu wote ni wangu kadri ya uwezo wangu nitafangua milango yangu kwao ila Kwa ndugu mie wangu wote wazee wanalea vilembwe na Mshukuru Mungu Sina anayenitegemea labda wa Mume nao watachoose niwaangalie wazazi wao au nisikilize shida zao ila sipendi waniandame kweli
 
Are you single😉
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…