Tuweni serious

Am not responsible for that. I got a family to take care of. Ila nnapoweza, nawasaidia kama nnavomsaidia mtu mwingine yeyote. Siwezi kuacha kulipa ada ya mwanangu ili nimtumie baba pesa ya kupaua kibanda chake. Thanks.
Sisi sio wazungu. Hata uige vipi. Africa tuna kitu kinaitwa Back Tax. Watu wamekupambania ufike ulipofika, you need to do your part kwa wazazi na wadogo zako. What do you think will happen to your kids siku ukifa ghafla na wazazi wako na ndugu zako umewachinjia baharini
 
This is my point of view too... Ani iko hivi

Sio jukumu la mtoto kumlea mzazi ... Ni jukumu la mzazi kumlea mtoto ... Mama yangu na baba yangu wamenilea nimefika hapa nilipo wamemaliza jukumu lao ... Ni jukumu langu kulea familia yangu(mke na watoto) nao niwafikishe level ya kujitegemea... Sasa ukisema nihangaike na familia yangu (mke na watoto) halafu nihangaike na mama na baba tena it's just not fair ...

BUT

Kama mama , baba na ndugu wako na hali mbaya ni vyema kuwasaidia kwa uwezo wako na kuna baraka ndani yake pia.
(Msaada huu uwe ndani ya uwezo wako ani usikupe stress)

Ukijaribu kuangalia the other side of the story ni kwamba mimi nimelelewa nimekuwa mkubwa then niwalee wazazi wangu afu wanangu wateseke then wanangu waje wanilee mimi wanao wateseke like wtf is that ... Ani nimzae mtoto afu nijiambie "huyu atakuja kunilea nikizeeka!" Hiyo Logic sio


So conclusion ni kwamba you need to start your own family na kuipa kipaumbele kwanza lakini Allah akikujaalia ukaweza kuhudumia familia yako vyema then ukawa na uwezo wa kuwasaidia ndugu na wazazi kama hawajiwezi hiyo inakuwa superb
 
Ndio wazazi ni Mungu wapili wa duniani
Mathayo 12:47-50
[47]Mtu mmoja akamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.
[48]Akajibu, akamwambia yule aliyempasha habari, Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni akina nani?
[49]Akawanyoshea mkono wanafunzi wake, akasema, Tazama, Mama yangu na ndugu zangu!
[50]Kwa maana ye yote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye ndugu yangu, na umbu langu, na mama yangu.



Baba wa dunia hii utanisamee Tu. sina undugu na wewe usipo nielewa kwenye imani yangu binafsi
 
Sawa umeamua niwako sio wangu mie wangu nawatunza ni wezavyo
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…