Tuzikatae Serikali zisizo na ufumbuzi ongezeko la bei za mafuta

Tuzikatae Serikali zisizo na ufumbuzi ongezeko la bei za mafuta

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kupanda kwa bei ya dhahabu, tanzanite na vyote made in Tanzania hakujawahi kuakisiwa popote positively katika nchi hii.

Kote upigaji ndiyo ulio kipaumbele.

Serikali kupitia LATRA ilitangaza bei mpya za nauli kwa kuzingatia diesel @ 2,800/- wakiyataka mabasi kutokutumia nauli hizo kabla ya 14 May.

Hadi 14 May wenye mabasi waendelee kuvuna hasara japo wao serikali hata huwa hawa subiri hata yale ya siku 27 tu ya store kutumika.

Kwamba wao serikali ndiyo waseme wanasimamia maslahi ya mlaji? Huu si ni usanii tu?

Tulipo sasa bei za mafuta zimepanda tena kwa karibu 600/- @ Lita.

Hili si la vyama tena.

Wananchi - twafa!

Achia mbali rushwa za polisi ambazo ni rasmi majiani, ushuru usio tija, gharama za ving'amuzi, faini za kubambikiziana nk, sisi walaji wa mwisho tunasalimikia wapi?

-----------
Source: Bei mpya ya petroli, dizeli hii hapa!
 
Sasa utamuweka nani afrika hii ambaye hatapiga hela ya serikali?
Tuna haki ya kukataa kupigwa kwa vitendo. Yeyote ajaye akajua hatutakubali.

Kukata tamaa kama kwako mkuu ndiko kunapowapa hawa ndugu ujasiri wa kitukamua bila huruma kama hivi.

Hili ni suala letu kama wananchi hatuwezi kuwa ma cowards kiasi hiki.
 
Kupanda kwa bei ya dhahabu, tanzanite na vyote made in Tanzania hakujawahi kuakisiwa popote positively katika nchi hii.

Kote upigaji ndiyo ulio kipaumbele.

Serikali kupitia LATRA ilitangaza bei mpya za nauli kwa kuzibgatia diesel @ 2,800/- wakiyataka mabasi kutokutumia nauli hizo kabla ya 14 May.

Hadi 14 May wenye mabasi na waendelee kuvuna hasara japo wao serikali hata hawa subiri hata yale ya siku 27 tu za store kutumika.

Hili si la vyama tena.

Wananchi - twafa!

-----------
Source: Bei mpya ya petroli, dizeli hii hapa!
Unakataa kwa katiba na Sheria ipi?
 
Unakataa kwa katiba na Sheria ipi?

Kwani kilichowafurusha Hosni Mubarak, Abedin Ban Ali na wenzao madarakani ilikuwa kwa mujibu wa sheria au katiba ipi?

Kwa mawazo kama yako mkuu ndiyo sababu ya status quo.
 
Kupanda kwa bei ya dhahabu, tanzanite na vyote made in Tanzania hakujawahi kuakisiwa popote positively katika nchi hii.

Kote upigaji ndiyo ulio kipaumbele.

Serikali kupitia LATRA ilitangaza bei mpya za nauli kwa kuzibgatia diesel @ 2,800/- wakiyataka mabasi kutokutumia nauli hizo kabla ya 14 May.

Hadi 14 May wenye mabasi na waendelee kuvuna hasara japo wao serikali hata hawa subiri hata yale ya siku 27 tu za store kutumika.

Hili si la vyama tena.

Wananchi - twafa!

-----------
Source: Bei mpya ya petroli, dizeli hii hapa!
Hamia Ukraine ule maisha na Zelensky
 
Kupanda kwa bei ya dhahabu, tanzanite na vyote made in Tanzania hakujawahi kuakisiwa popote positively katika nchi hii.

Kote upigaji ndiyo ulio kipaumbele.

Serikali kupitia LATRA ilitangaza bei mpya za nauli kwa kuzibgatia diesel @ 2,800/- wakiyataka mabasi kutokutumia nauli hizo kabla ya 14 May.

Hadi 14 May wenye mabasi na waendelee kuvuna hasara japo wao serikali hata hawa subiri hata yale ya siku 27 tu za store kutumika.

Hili si la vyama tena.

Wananchi - twafa!

-----------
Source: Bei mpya ya petroli, dizeli hii hapa!
JamiiForums1303681488.jpg
 
Kupanda kwa bei ya dhahabu, tanzanite na vyote made in Tanzania hakujawahi kuakisiwa popote positively katika nchi hii.

Kote upigaji ndiyo ulio kipaumbele.

Serikali kupitia LATRA ilitangaza bei mpya za nauli kwa kuzibgatia diesel @ 2,800/- wakiyataka mabasi kutokutumia nauli hizo kabla ya 14 May.

Hadi 14 May wenye mabasi na waendelee kuvuna hasara japo wao serikali hata hawa subiri hata yale ya siku 27 tu za store kutumika.

Hili si la vyama tena.

Wananchi - twafa!

-----------
Source: Bei mpya ya petroli, dizeli hii hapa!
Hii ya ccm ilishakataliwa tangu 2020. Ni basi tu
 
Kupanda kwa bei ya dhahabu, tanzanite na vyote made in Tanzania hakujawahi kuakisiwa popote positively katika nchi hii.

Kote upigaji ndiyo ulio kipaumbele.

Serikali kupitia LATRA ilitangaza bei mpya za nauli kwa kuzibgatia diesel @ 2,800/- wakiyataka mabasi kutokutumia nauli hizo kabla ya 14 May.

Hadi 14 May wenye mabasi na waendelee kuvuna hasara japo wao serikali hata hawa subiri hata yale ya siku 27 tu za store kutumika.

Hili si la vyama tena.

Wananchi - twafa!

-----------
Source: Bei mpya ya petroli, dizeli hii hapa!
UWII TWAFAAAAA
 
Hayo yote juhudi za kutafuta hela ya royal tour part 2

Bei hizi hazikubaliki. Tunaambiwa ki pedestrian tu kuwa ni ndogo kuliko za US. Kwani wages US zinafanana na kwetu?
 
Hata Burundi nilipotakiwa kuhamia na waziri mwenye dhamana mwigulu sikwenda sembuse kwa amri ya kinyangarika wewe?
Mtaishia kuandika tu humu, wenzenu wanasomesha watoto , wanakula vizuri, wanakunywa vizuri
 
Sijui mpaka kitokee kitu gani ndio watz wataamka, tunashangaza sana, tumezoea kuwaacha wale wale wanaotutengenezea matatizo warudi kuyatatua, hata ikiwachukua miaka 20 sisi tupo tutawasubiri tu.
 
Watanzania ni waoga sana katika kutafuta haki zao. Hali hii ikiendelea italeta maumivu yatakayo toa woga. Kila kitu hutokea kwasababu.
Kitu kinachoumiza zaidi ni pale kiongozi wa nchi anapoonekana kuwa kakata tamaa juu ya matatizo yanayowakabili wanannchi wake! Samia akiulizwa na Tido Muhando wa Azam juu ya bei za mafuta; anajibu kwa kulinganisha bei za Marekani na hizi za hapa Tanzania , je hii inaleta hisia gani? Juu ya hapo ni juzi tu aliulizwa juu ya hali ya mafuta ya Petrol/Diesel nchini na akasema nchi haina uhaba wa bidhaa hizo na kulikuwa na stock ya mpaka mwezi July!! Kama aliyosema Samia ni kweli, hakuna Sababu ya bei za mafuta kupanda kama yalivyopandishwa hivi sasa kwasababu hii ni old stock na sio yaliyonunuliwa hivi punde!! No justification for the increase in prices, the Oil marketers are reaping super profits at the expense of the deterioration of economic activities!!
The government is obliged to tax these super profits that these oil marketers are making.
Tatizo linakuja pale hawa wafanyabiashara wakiwemo wa mafuta wanapomfadhiri mkuu wa nchi kama vile kwenye mradi wa ROYAL TOUR ; atawatoza kodi kweli?
 
Sijui mpaka kitokee kitu gani ndio watz wataamka, tunashangaza sana, tumezoea kuwaacha wale wale wanaotutengenezea matatizo warudi kuyatatua, hata ikiwachukua miaka 20 sisi tupo tutawasubiri tu.

Mmerogwa na mganga aliyewaroga amekufa!!! Mmepigwa na kitu chenye ncha kali kichwani.
 
Back
Top Bottom