Tuzo anazoshinda muigizaji Monalisa mbona hazishangiliwi?

Tuzo anazoshinda muigizaji Monalisa mbona hazishangiliwi?

Wakati alipoenda kuchukua hiyo tuzo aliaga?angeikosa ingekuwaje au alikuwa kawekewa kabisa.
 
Wakuu,

Hii ni mara ya pili msanii huyu wa kitambo kwenye Bongo movie anapata tuzo huko nje ya nchi.

Ila hakuna mbwembwe za kupokelewa kama Lulu..

Inamaana hata Wizara ya habari hawaoni kazi anazofanya huyu msanii?

Au tuzo zake ni uchwara?

Wanaojua juu ya tuzo anazogombania huko nje ya nchi huyu Monalisa mtujuze.



monalisa mbaya.mdomo km mnyakyusa anayefundishwa kusema "tyununu".
 
Wewe ndiye monalisa mwenyewe unajipigia chapuo?
 
Ni kwa sababu hana skendo na havai kiajabu ajabu ndiyo maana...

Hao wanaoshangiliwaga wengi wao ni watu wa matukio...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom