Tuzo ya Best African Act aliyopewa Wiz Kid imerudishwa kwa mshindi halali Ali Kiba

Hii itakuwa Wizkid kamhurumia Kiba, anavyo hangaika na tuzo, bira walivyompoza.
 
Toka Nijitambue!
Nimegundua rafiki yako na mtu wako wa karibu anayekutakia mema kabisa katika maisha yako ni MAMA YAKO TU!
Wengine we watizame tu, wala usilalamike!
I can imagine how MAMA ALIKIBA is proud of her son for the great Achievements.
Nakushauri rafiki zangu JF, Love your Mum! Because she is there in worst and best times!

Kwa Alikiba I am saying this:
Piga kazi!
Never Give Up! Watanyamaza!
Baba yangu husemaL: Jogoo awike au asiwike Jua lazima lichomoze!
Never Give up Man!
 
Yaani hawa jamaa walikuwa hawajui kusoma kura za wanaofanya maamuzi au ni mawazo muflisi?
 
hapo ndio utakumbuka zile vocal za 'l want you back l am sorry bebe oooooh' jamaa mbaya sana japo domo kaya anabebwabebwa
 
Jina sio issue, mi jina langu halisi watu wanaonifaham walivyolipindisha na wanavyoniita ingekuwa ww inaonekana ungekuwa unagombana nao kila siku
Nimeandika in a positive way,mbona Juma Nature anatumia hyo hyo Kibra km aka yake
Ushasema juma nature!!
 
By sia furler,,mama wa chandelier!,cheap thrills,!!
 
flagship nenda kwa ktk page ya insta ya shilole kiuno na sijui dengue nn kaangalie anavyotukanana na wanaijeria ktk page zao na kama hujui habari mpya na update zote za kiba ziaanzia kwao, au mitusi ktk page ya mtv emma, alafu njoo useme tena timu diamond, tubadilike watz huu upuuzi, jamaa kamaindi kimtindo, tuzo tushapata sasa matusi ya nn
 
kwani tuzo ashapewa? Mbona siku zinaenda sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…