Ebwana,leo nimeshuhudia jinsi fans wanavyoweza kumpigania msanii wao!!! OMG,,that's fantastic!!!! Haters sasa wanatunga story story za kipuuzi puuzi ili ionekane kama nini vile!! Sema niniii!!!??? TushawashtulkiaaaaaaWowzerrrrrrrrr
Dah afadhali siku inazidi kuisha vizuri jamani!
Mungu mkubwa,hongera Ali Kiba,hongera Kiba fans [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Lakini Nadhani Kiba inabidi akae chini ajitafakari kama anaweza ku compete na mafanikio ya Wizkid katika anga ya international/worldwide music let alone kuongoza kwenye hizo votes...ukweli utamweka Kiba na mashabiki wake Huru...aachane na hizo siasa za public sympathy am sure he can do better zaidi ya anachofanya sasa hvAm very happy, tena Sana,,tuzo ile aliyopewa wizkid isivyo halali imerudishwa kwa aliyestahili!!! Wekeni akiba ya maneno,, msinitukane,,,
Najua mtakwazika kuwa sijaweka habari kamili au chanzo cha habari!! Soon mtasikia habari hizi njema
Nb. Ingieni kwenye page ya instagram ya wizkid ameshafuta post zote zinazohusu tuzo, mtvmama vilevile!!! Nimeandika nikiwa nna haraka!!!
Haters poleni!!
Lubuva hadi Kweny MTVmama DuhAm very happy, tena Sana,,tuzo ile aliyopewa wizkid isivyo halali imerudishwa kwa aliyestahili!!! Wekeni akiba ya maneno,, msinitukane,,,
Najua mtakwazika kuwa sijaweka habari kamili au chanzo cha habari!! Soon mtasikia habari hizi njema
Nb. Ingieni kwenye page ya instagram ya wizkid ameshafuta post zote zinazohusu tuzo, mtvmama vilevile!!! Nimeandika nikiwa nna haraka!!!
Haters poleni!!
Hater!! Asante Sana,, naona unajibalaguza kunielekeza,, ngoja hili shangwe liishe halafu utanielekeza!! An amazing hater!!Wenzako wanafanyaga hivi.
haya baba, asante kwa Mada tofauti yenye lengo la Siri!!!Lakini Nadhani Kiba inabidi akae chini ajitafakari kama anaweza ku compete na mafanikio ya Wizkid katika anga ya international/worldwide music let alone kuongoza kwenye hizo votes...ukweli utamweka Kiba na mashabiki wake Huru...aachane na hizo siasa za public sympathy am sure he can do better zaidi ya anachofanya sasa hv
Mi kwangu inanoga hatari,, Kama kwako chungu jua kuwa ni none of ur business!! OMG!!!, tehHainogi wala
Why always Kiba ? Kila siku anahujumiwa yeye tu...akifanya kazi nzuri za kimataifa sidhani kama atakuwa anapatwa na hizi sintofahamuKama ni kweli hii ni aibu kubwa kwa waandaji na ile kauli ya Ali kiba ya kuhujumiwa itakuwa inaleta uhalisia
Nakuja sasa hiviiiiiiiii kama ni kweli nitakufa mie.
Na screenshot juu.
Hahahaha,,naona nia ovu uliyo Nayo,, fanya hivi,,Why always Kiba ? Kila siku anahujumiwa yeye tu...akifanya kazi nzuri za kimataifa sidhani kama atakuwa anapatwa na hizi sintofahamu
MSIMAMIZI WA HIZI TUZO ATAKUWA NI YULE ALIYESIMAMIA KULE ZENJIWowzerrrrrrrrr
Dah afadhali siku inazidi kuisha vizuri jamani!
Mungu mkubwa,hongera Ali Kiba,hongera Kiba fans [emoji8] [emoji8] [emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itabidi mwakani tusipige kuraKama kweli huu ni udhaliliahaji kwa msanii wetu, kweli mpaka ang'ang'anie ndio apewe!!
hivi hao waandaaji wamekili kwenye platform gani? kwenye website yao? kwenye social networks page zao au walimpigia simu Millard ayo atuambie? ni habari njema lakini bado naweka akiba ya maneno