Tuzo ya Best African Act aliyopewa Wiz Kid imerudishwa kwa mshindi halali Ali Kiba

Tuzo ya Best African Act aliyopewa Wiz Kid imerudishwa kwa mshindi halali Ali Kiba

Wowzerrrrrrrrr
Dah afadhali siku inazidi kuisha vizuri jamani!
Mungu mkubwa,hongera Ali Kiba,hongera Kiba fans [emoji8] [emoji8] [emoji8]
ceb629de910c5a2ae5fe713153c4a4af.jpg
Ebwana,leo nimeshuhudia jinsi fans wanavyoweza kumpigania msanii wao!!! OMG,,that's fantastic!!!! Haters sasa wanatunga story story za kipuuzi puuzi ili ionekane kama nini vile!! Sema niniii!!!??? Tushawashtulkiaaaaaa
 
Am very happy, tena Sana,,tuzo ile aliyopewa wizkid isivyo halali imerudishwa kwa aliyestahili!!! Wekeni akiba ya maneno,, msinitukane,,,
Najua mtakwazika kuwa sijaweka habari kamili au chanzo cha habari!! Soon mtasikia habari hizi njema
Nb. Ingieni kwenye page ya instagram ya wizkid ameshafuta post zote zinazohusu tuzo, mtvmama vilevile!!! Nimeandika nikiwa nna haraka!!!
Haters poleni!!
Lakini Nadhani Kiba inabidi akae chini ajitafakari kama anaweza ku compete na mafanikio ya Wizkid katika anga ya international/worldwide music let alone kuongoza kwenye hizo votes...ukweli utamweka Kiba na mashabiki wake Huru...aachane na hizo siasa za public sympathy am sure he can do better zaidi ya anachofanya sasa hv
 
Am very happy, tena Sana,,tuzo ile aliyopewa wizkid isivyo halali imerudishwa kwa aliyestahili!!! Wekeni akiba ya maneno,, msinitukane,,,
Najua mtakwazika kuwa sijaweka habari kamili au chanzo cha habari!! Soon mtasikia habari hizi njema
Nb. Ingieni kwenye page ya instagram ya wizkid ameshafuta post zote zinazohusu tuzo, mtvmama vilevile!!! Nimeandika nikiwa nna haraka!!!
Haters poleni!!
Lubuva hadi Kweny MTVmama Duh
 
Wenzako wanafanyaga hivi.

Hater!! Asante Sana,, naona unajibalaguza kunielekeza,, ngoja hili shangwe liishe halafu utanielekeza!! An amazing hater!!
 
Lakini Nadhani Kiba inabidi akae chini ajitafakari kama anaweza ku compete na mafanikio ya Wizkid katika anga ya international/worldwide music let alone kuongoza kwenye hizo votes...ukweli utamweka Kiba na mashabiki wake Huru...aachane na hizo siasa za public sympathy am sure he can do better zaidi ya anachofanya sasa hv
haya baba, asante kwa Mada tofauti yenye lengo la Siri!!!
 
hahahahaaaaa wabongo nimewavulia kofia..............yan wamepigana kufa kupona mpaka tuzo imerudi home
heheheeee lazma wanaijeria watakua wamejuta kutufahamu
plyz mwakani MTV EMA msije mkatususa kutokana na hili
mana msije mkajifunza kutokana na makosa

Hongera kiba
 
Haya hongera, King kiba, ila siamini bado yaani CV yote ya wizkid mwishoni mwaka jana na mwaka huu, kaambulia patupu, basi ya worldwide wampe ariana grande.
 
hivi hao waandaaji wamekili kwenye platform gani? kwenye website yao? kwenye social networks page zao au walimpigia simu Millard ayo atuambie? ni habari njema lakini bado naweka akiba ya maneno
 
Why always Kiba ? Kila siku anahujumiwa yeye tu...akifanya kazi nzuri za kimataifa sidhani kama atakuwa anapatwa na hizi sintofahamu
Hahahaha,,naona nia ovu uliyo Nayo,, fanya hivi,,
Ushauri unaotaka uleta uanzishie thread nyingine
Isiwe tabu!!! Fanya Kama kumshauri!!!
 
Wowzerrrrrrrrr
Dah afadhali siku inazidi kuisha vizuri jamani!
Mungu mkubwa,hongera Ali Kiba,hongera Kiba fans [emoji8] [emoji8] [emoji8]
ceb629de910c5a2ae5fe713153c4a4af.jpg
MSIMAMIZI WA HIZI TUZO ATAKUWA NI YULE ALIYESIMAMIA KULE ZENJI
 
Heheeee!! Amini tuu, Kama huwezi wewe weka akiba yako mpaka hata mwaka kesho!!! Time will tell au siyo?????
hivi hao waandaaji wamekili kwenye platform gani? kwenye website yao? kwenye social networks page zao au walimpigia simu Millard ayo atuambie? ni habari njema lakini bado naweka akiba ya maneno
 
Back
Top Bottom