Tuzo za Afrimma 2018, Diamond aambulia patupu, Wizkid na Fally Ipupa wang'aa

Tuzo za Afrimma 2018, Diamond aambulia patupu, Wizkid na Fally Ipupa wang'aa

Tatizo mnafuatlia page za udaku mbona diamond platnumz kapata tuzo.
Screenshot_20181009-080002.jpg
 
Na na na naaa badooooo[emoji23]
Yaani na bado kwa sababu hakupata tuzo?! Team Kiba, Team Zari, au Team Hamisa? Manake lazima utakuwa unatoka kwenye moja ya hayo makundi hususani Team Zari au Team Hamisa ambao bado wana machungu ya watu wao kupigwa chini baada ya kufanywa mashine za kutotolea watoto!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]jipige doko. Afu usinihusishe ni timu kalumanzira,kamgambire mfyuuuu

Ua jekundu lilipiga mtu chini bana
Yaani na bado kwa sababu hakupata tuzo?! Team Kiba, Team Zari, au Team Hamisa? Manake lazima utakuwa unatoka kwenye moja ya hayo makundi hususani Team Zari au Team Hamisa ambao bado wana machungu ya watu wao kupigwa chini baada ya kufanywa mashine za kutotolea watoto!
 
Licha ya kutajwa kwenye vipengele 5 msanii maarufu nchini Diamond ameambulia patupu huku tuzo kubwa zikienda kwa yemi alade, Wizkid na fally ipupa
Wizkid ameshinda wimbo Bora wa mwaka kupitia hit song yake ya SOCO
Huku Fally ipupa akishinda tuzo ya artist of year
Yemi alade amejinyakulia tuzo ya female artist of the year
Eddy Kenzo kutokana Uganda akishinda best East Africa artist of the year

Ikumbukwe wiki iliopita katika nomination za MTV EMMA 2018 Diamond alipigwa chini licha ya kuonekana anafanya vizuri nchini
Naona kama umeandika huku umefurahi sana.
 
Na hapo hawajatoa dola yoyote zaidi ya kumnusisha pussy so hot[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulimbukeni wa pussy utamuua anataka kushindana na alipotoka
 
Back
Top Bottom