Tuzo za kili leo:jide kunyakua tuzo ya mwanamuziki bora wa kike

Tuzo za kili leo:jide kunyakua tuzo ya mwanamuziki bora wa kike

we umenena siyo huyo mwenye kesi muda huu atafakari kesi aliyoianzisha kwa mikono yake.Ivi hana washauri huyo dada namuonea huruma atakavyofirisiwa na kurudi kulima mihogo aje kutuuzia tule.Kesi unaanzisha wewe eti umma ukuonee huruma Ruge, Kusaga Kuleni naye sahani moja iwe fundisho kwa wale wote wanaodhani wapo juu ya sheria!

wewe mwenyewe una kesi ya kumlazimisha ruge akukule kabang'
 
Leo watanzania watapata kutambua nani ananyakua tuzo gani ya kilimanjaro music award 2013 katika ukumbi wa mlimani city,baadhi ya vipengele vinavyowaniwa ni MSANII BORA WA KIKE ambacho kinawaniwa na isha mashauzi,khadija kopa,lady jaydee na recho,apa niseme tu ukweli bado sijaona msanii ambaye anaweza mpiku JIDE yaani bado sana kwa wasanii wa kike bongo kufikia level za huyu mwanadada,ninachojua tuzo ya kipengele hicho ni ya jide kama ilivyokuwa miaka ya apo nyuma,kwani siku zote amekuwa akichukua yeye,inabidi mademu wajipange sana,TEAM ANACONDA tunasubiri tuzo yetu leo.kama ukinuna,tukana,bisha ila habari ndo hiyo hutaki jinyonge#JOTO HASIRA.....

sawa houseboy wa jide.:A S kiss:
 
labda akatambike umemsahau Linnah mtoto sauti kama ndege mwanana team Linnah tozo yetu hiyo. waache mazoea!
eti atachukua yeye kwa lipi na nyimbo yake ya kufukuzia ndege mashambani,Sasa ni mwendo wa vizazi vipya wazee tupa ule!

halafu umejitoa ufahamu kabisa kuna uzi ulianzisha kuhusu clouds media nikagundua kuwa unatumia zaidi tundu la chini kuangalia masuala hata usiyoyajua nyuma mbele, take care of ur ass utajapasuka wewe!
 
we umenena siyo huyo mwenye kesi muda huu atafakari kesi aliyoianzisha kwa mikono yake.Ivi hana washauri huyo dada namuonea huruma atakavyofirisiwa na kurudi kulima mihogo aje kutuuzia tule.Kesi unaanzisha wewe eti umma ukuonee huruma Ruge, Kusaga Kuleni naye sahani moja iwe fundisho kwa wale wote wanaodhani wapo juu ya sheria!

unatia kichefuchefu wewe, hii ni dunia wewe hakuna mwenye hatimiliki, kila siku ukitaka kujudge fanya check and balance, sawa wewe punk ass! kila siku unaitetea clouds media na kumponda dada wa watu jide, utapasuliwa marinda wewe kwa umaskini wako wa akili na njaa zako, nasubiri ban kwa ajili yako wewe
 
unajuwa tofauti ya kuongea na kuandika?
Kama hujui nenda kajiandikishe Memkwa...

umeulizwa we wa kike au wa kiume make unavojipendekeza kwa kina ruge unatupa wasiwasi na jinsia yako,. Ebu twondolee utata we ni ke au me??
 
umeulizwa we wa kike au wa kiume make unavojipendekeza kwa kina ruge unatupa wasiwasi na jinsia yako,. Ebu twondolee utata we ni ke au me??


duh kusoma hujui, basi hata Picha huoni?
Then njoo na thread ambayo mi namfagilia Ruge ntakupa zawadi ya kukupakata, maana unaonekana una nyonga manshaalah...

Teh teh teh
 
we umenena siyo huyo mwenye kesi muda huu atafakari kesi aliyoianzisha kwa mikono yake.Ivi hana washauri huyo dada namuonea huruma atakavyofirisiwa na kurudi kulima mihogo aje kutuuzia tule.Kesi unaanzisha wewe eti umma ukuonee huruma Ruge, Kusaga Kuleni naye sahani moja iwe fundisho kwa wale wote wanaodhani wapo juu ya sheria!

Majambazi wa kazi za wasanii mpo wengi
 
Washindi wengi hawakwenda kuchukua tuzo zao. Ina maana gani?
 
WARUMI umetishaaaaaaa,JIDE FOREVERRRRRRRRRR.....HATERS MNA LINGINEEEEEEEEE?????,APO JOTO HASIRA TUUU.....
 
am so happy jide kachukua hii tunzo
 
we umenena siyo huyo mwenye kesi muda huu atafakari kesi aliyoianzisha kwa mikono yake.Ivi hana washauri huyo dada namuonea huruma atakavyofirisiwa na kurudi kulima mihogo aje kutuuzia tule.Kesi unaanzisha wewe eti umma ukuonee huruma Ruge, Kusaga Kuleni naye sahani moja iwe fundisho kwa wale wote wanaodhani wapo juu ya sheria!
we hata hujui unachoandika.unadandia tren kwa mbele pole wee!
 
duh kusoma hujui, basi hata Picha huoni?
Then njoo na thread ambayo mi namfagilia Ruge ntakupa zawadi ya kukupakata, maana unaonekana una nyonga manshaalah...

Teh teh teh

skuizi mnaopakatwa nanyie mnapakata duuu hii ni sawa na sisimizi kummeza tembo
 
Back
Top Bottom