UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
we umenena siyo huyo mwenye kesi muda huu atafakari kesi aliyoianzisha kwa mikono yake.Ivi hana washauri huyo dada namuonea huruma atakavyofirisiwa na kurudi kulima mihogo aje kutuuzia tule.Kesi unaanzisha wewe eti umma ukuonee huruma Ruge, Kusaga Kuleni naye sahani moja iwe fundisho kwa wale wote wanaodhani wapo juu ya sheria!
Leo watanzania watapata kutambua nani ananyakua tuzo gani ya kilimanjaro music award 2013 katika ukumbi wa mlimani city,baadhi ya vipengele vinavyowaniwa ni MSANII BORA WA KIKE ambacho kinawaniwa na isha mashauzi,khadija kopa,lady jaydee na recho,apa niseme tu ukweli bado sijaona msanii ambaye anaweza mpiku JIDE yaani bado sana kwa wasanii wa kike bongo kufikia level za huyu mwanadada,ninachojua tuzo ya kipengele hicho ni ya jide kama ilivyokuwa miaka ya apo nyuma,kwani siku zote amekuwa akichukua yeye,inabidi mademu wajipange sana,TEAM ANACONDA tunasubiri tuzo yetu leo.kama ukinuna,tukana,bisha ila habari ndo hiyo hutaki jinyonge#JOTO HASIRA.....
labda akatambike umemsahau Linnah mtoto sauti kama ndege mwanana team Linnah tozo yetu hiyo. waache mazoea!
eti atachukua yeye kwa lipi na nyimbo yake ya kufukuzia ndege mashambani,Sasa ni mwendo wa vizazi vipya wazee tupa ule!
we umenena siyo huyo mwenye kesi muda huu atafakari kesi aliyoianzisha kwa mikono yake.Ivi hana washauri huyo dada namuonea huruma atakavyofirisiwa na kurudi kulima mihogo aje kutuuzia tule.Kesi unaanzisha wewe eti umma ukuonee huruma Ruge, Kusaga Kuleni naye sahani moja iwe fundisho kwa wale wote wanaodhani wapo juu ya sheria!
unajuwa tofauti ya kuongea na kuandika?
Kama hujui nenda kajiandikishe Memkwa...
umeulizwa we wa kike au wa kiume make unavojipendekeza kwa kina ruge unatupa wasiwasi na jinsia yako,. Ebu twondolee utata we ni ke au me??
we umenena siyo huyo mwenye kesi muda huu atafakari kesi aliyoianzisha kwa mikono yake.Ivi hana washauri huyo dada namuonea huruma atakavyofirisiwa na kurudi kulima mihogo aje kutuuzia tule.Kesi unaanzisha wewe eti umma ukuonee huruma Ruge, Kusaga Kuleni naye sahani moja iwe fundisho kwa wale wote wanaodhani wapo juu ya sheria!
duh kusoma hujui, basi hata Picha huoni?
Then njoo na thread ambayo mi namfagilia Ruge ntakupa zawadi ya kukupakata, maana unaonekana una nyonga manshaalah...
Teh teh teh
am so happy jide kachukua hii tunzo
Wala jasho la wasanii mnajulikana
we hata hujui unachoandika.unadandia tren kwa mbele pole wee!we umenena siyo huyo mwenye kesi muda huu atafakari kesi aliyoianzisha kwa mikono yake.Ivi hana washauri huyo dada namuonea huruma atakavyofirisiwa na kurudi kulima mihogo aje kutuuzia tule.Kesi unaanzisha wewe eti umma ukuonee huruma Ruge, Kusaga Kuleni naye sahani moja iwe fundisho kwa wale wote wanaodhani wapo juu ya sheria!
WARUMI umetishaaaaaaa,JIDE FOREVERRRRRRRRRR.....HATERS MNA LINGINEEEEEEEEE?????,APO JOTO HASIRA TUUU.....
duh kusoma hujui, basi hata Picha huoni?
Then njoo na thread ambayo mi namfagilia Ruge ntakupa zawadi ya kukupakata, maana unaonekana una nyonga manshaalah...
Teh teh teh