Tuzuie upotoshaji wa kiserikali kuhusu MoU na Mkataba wa Awali

Tuzuie upotoshaji wa kiserikali kuhusu MoU na Mkataba wa Awali

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,005
Reaction score
20,425
Kuna upotoshaji mkubwa kwamba kilichopo sasa ni MoU na Mkataba wa Awali tu hivyo hatuwezi kujadili kwamba Serikali imeingia mkataba na Dubai. Nafikiri tuwekane sawa kidogo na tupate tafsiri ya hayo maneno yana maana gani hasa.

Maana na Tafsiri halisi ya MoU - Memorandum of Understanding au kwakiswahili fasaha "Mkataba wa Makubaliano", Ni msingi unaowekwa kwaajili ya kusimamia jambo halisi ama mkataba kamili. Au ni Mwongozo kwaajili ya mkataba.

Pili kuna Mkataba wa Kiserikali, Intergovernmental Agreement, haya ni Makubaliano ya kiserika ni mkataba halisi ambayo lengo lake halisi huwa ni kuandaa utekelezaji wa mkataba. Kwa lugha nyingine tukiwa site tunaita mobilization site. Intergovernme Agreement ikishasainiwa inahesabika ni mkataba, mfano hii Intergovernmental Agreement ya Tz na Dubai ni ya miezi 12 kama wao wanavyosema japo hakuna palipoandikwa, na kwa muda mkataba ulivyosainiwa 25 October 2022, inamaana kwamba uhai wa Intergovernmental Agreement hiyo imebaki miezi 4 tu, ndiomaana wanakimbizana kutaka bunge liidhinishe fasta ili wasaini mkataba halisi. Kuna hoja kwamba kwanini Intergovernmental Agreement imeanza kufanya kazi kabla bunge halijaridhia kama sheria na katiba inavyotaka. Hili niwaachie Wanasheria Mh Lissu na Mh Peter Kibatala watatusaidia.

Mambo yote mawili hapo juu, yaani MoU na Intergovernmental Agreement yana kazi moja tu kwamba mkataba halisi utakaosainiwa hautatoka nje ya kile mlichokubaliana kilichoandikwa kwenye MoU na Intergovernmental Agreement. Kwa lugha rahisi ni kuwa Mkataba halisi Kati ya Serikali na Dubai, hautatoka nje ya Yale tunayoyasoma kwenye MoU ya Serikali na Dubai kuhusu Bandari ya Dar. Kwahiyo ndio kusema MoU hii ni sawa na mkataba tu, tofauti yake ni kuwa hii inaweza kuhaririwa na kuondolewa yale yatakayobishaniwa na pande mbili kabla ya kusaini mkataba.

Kwahiyo ilimradi MoU na Mkataba wa Kiserikali viko Public, Umma una haki ya kujadili na kukosoa kwa nguvu zote kwa lengo la kushauri marekebisho ya msingi. Kukosoa MoU haina maana tunaingilia Bunge, kila mtu kwa sehemu yake akosoe ashauri apinge na asifie, Ilimradi MoU iko public kwa umma. Aliyeleta kwa Umma MoU ni serikali, hivyo isiogope ukosozi, ipokee na iingatie hisia na matakwa ya umma!

Tuendelee kujalidi tusiruhusu wahalifu watuondoe kwenye mjadala kwakufanya spinning za kwamba Mh Mbowe kataja Uzanzibar nk, Hawa kina Kibajaji ni sehemu ya kundi la watanzania wenzetu wajinga tusiwape muda wetu. Tukumbuke sheria mbovu ya TISS inapitishwa katikati ya sakata la Bandari.

Na Yericko Nyerere

FB_IMG_1686255435349.jpg
IMG_20230608_232126_490.jpg
 
Kuna upotoshaji mkubwa kwamba kilichopo sasa ni MoU na Mkataba wa Awali tu hivyo hatuwezi kujadili kwamba Serikali imeingia mkataba na Dubai. Nafikiri tuwekane sawa kidogo na tupate tafsiri ya hayo maneno yana maana gani hasa.

Maana na Tafsiri halisi ya MoU - Memorandum of Understanding au kwakiswahili fasaha "Mkataba wa Makubaliano", Ni msingi unaowekwa kwaajili ya kusimamia jambo halisi ama mkataba kamili. Au ni Mwongozo kwaajili ya mkataba.

Pili kuna Mkataba wa Awali, Preliminary Agreement, haya ni Makubaliano ya Awali ya mkataba halusi ambayo lengo lake halisi huwa ni kuandaa utekelezaji wa mkataba. Kwa lugha nyingine tukiwa site tunaita mobilization site. Preliminary Agreement ikishatumika kwa muda uliowekwa haina kazi tena, mfano hii preliminary Agreement ya Serikali na Dubai ni ya miezi 12 kama wao wanavyosema japo hakuna palipoandikwa, na kwa muda mkataba ulivyosainiwa 25 October 2022, inamaana kwamba uhai wa Preliminary Agreement hiyo imebaki miezi 4 tu, ndiomaana wanakimbizana kutaka bunge liidhinishe fasta ili wasaini mkataba halisi. Kuna hoja kwamba kwanini Preliminary Agreement imeanza kufanya kazi kabla bunge halijaridhia kama sheria na katiba inavyotaka. Hili niwaachie Wanasheria Mh Lissu na Mh Peter Kibatala watatusaidia.

Mambo yote mawili hapo juu, yaani MoU na preliminary Agreement yana kazi moja tu kwamba mkataba halisi utakaosainiwa hautatoka nje ya kile mlichokubaliana kilichoandikwa kwenye MoU na Preliminary Agreement. Kwa lugha rahisi ni kuwa Mkataba halisi Kati ya Serikali na Dubai, hautatoka nje ya Yale tunayoyasoma kwenye MoU ya Serikali na Dubai kuhusu Bandari ya Dar. Kwahiyo ndio kusema MoU hii ni sawa na mkataba tu, tofauti yake ni kuwa hii inaweza kuhaririwa na kuondolewa yale yatakayobishaniwa na pande mbili kabla ya kusaini mkataba.

Kwahiyo ilimradi MoU na Mkataba wa Awali viko Public, Umma una haki ya kujadili na kukosoa kwa nguvu zote kwa lengo la kushauri marekebisho ya msingi. Kukosoa MoU haina maana tunaingilia Bunge, kila mtu kwa sehemu yake akosoe ashauri apinge na asifie, Ilimradi MoU iko public kwa umma. Aliyeleta kwa Umma MoU ni serikali, hivyo isiogope ukosozi, ipokee na iingatie hisia na matakwa ya umma!

Tuendelee kujalidi tusiruhusu wahalifu watuondoe kwenye mjadala kwakufanya spinning za kwamba Mh Mbowe kataja Uzanzibar nk, Hawa kina Kibajaji ni sehemu ya kundi la watanzania wenzetu wajinga tusiwape muda wetu. Tukumbuke sheria mbovu ya TISS inapitishwa katikati ya sakata la Bandari.

Na Yericko Nyerere

View attachment 2650705View attachment 2650706
Bongo tunaendeshwa kwa matukio kama.garibovu.


CAG report ndo ishazikwa hiyo.

Sheria ya TISS ishaboreshwa pamoja na povu letu la foma gold

Yale ya Loliondo ndo kushnei tena

Tunasubiri tukio turuke hewani.

Shida yetu ni CCM tuendelee kubembelezana kusuburia labda atatokea kiongozi humo atakayeisaidia nchi. Tuendelee kubet na maisha yetu
 
Aiseeee Kwa hali hii ya maslahi binafsi na Kujilimbikizia Mali Kwa jina la Mwenyezi MUNGU Nipo tayari kuingia njiani Kwa heri ama Kwa Shari kuhakikisha Mali zetu haziendi Kwa hawa watesi wetu. Roho ya Marehemu JPM Ilale mahala pema peponi na Apumzike kwa Amani Amina
 
Bongo tunaendeshwa kwa matukio kama.garibovu.


CAG report ndo ishazikwa hiyo.

Sheria ya TISS ishaboreshwa pamoja na povu letu la foma gold

Yale ya Loliondo ndo kushnei tena

Tunasubiri tukio turuke hewani.

Shida yetu ni CCM tuendelee kubembelezana kusuburia labda atatokea kiongozi humo atakayeisaidia nchi. Tuendelee kubet na maisha yetu
Shida yetu ni raia wanafiki wasio kua na msimamo wenye elimu duni.
 
Kuna upotoshaji mkubwa kwamba kilichopo sasa ni MoU na Mkataba wa Awali tu hivyo hatuwezi kujadili kwamba Serikali imeingia mkataba na Dubai. Nafikiri tuwekane sawa kidogo na tupate tafsiri ya hayo maneno yana maana gani hasa.

Maana na Tafsiri halisi ya MoU - Memorandum of Understanding au kwakiswahili fasaha "Mkataba wa Makubaliano", Ni msingi unaowekwa kwaajili ya kusimamia jambo halisi ama mkataba kamili. Au ni Mwongozo kwaajili ya mkataba.

Pili kuna Mkataba wa Awali, Preliminary Agreement, haya ni Makubaliano ya Awali ya mkataba halusi ambayo lengo lake halisi huwa ni kuandaa utekelezaji wa mkataba. Kwa lugha nyingine tukiwa site tunaita mobilization site. Preliminary Agreement ikishatumika kwa muda uliowekwa haina kazi tena, mfano hii preliminary Agreement ya Serikali na Dubai ni ya miezi 12 kama wao wanavyosema japo hakuna palipoandikwa, na kwa muda mkataba ulivyosainiwa 25 October 2022, inamaana kwamba uhai wa Preliminary Agreement hiyo imebaki miezi 4 tu, ndiomaana wanakimbizana kutaka bunge liidhinishe fasta ili wasaini mkataba halisi. Kuna hoja kwamba kwanini Preliminary Agreement imeanza kufanya kazi kabla bunge halijaridhia kama sheria na katiba inavyotaka. Hili niwaachie Wanasheria Mh. Lissu na Mh. Peter Kibatala watatusaidia.

Mambo yote mawili hapo juu, yaani MoU na preliminary Agreement yana kazi moja tu kwamba mkataba halisi utakaosainiwa hautatoka nje ya kile mlichokubaliana kilichoandikwa kwenye MoU na Preliminary Agreement. Kwa lugha rahisi ni kuwa Mkataba halisi Kati ya Serikali na Dubai, hautatoka nje ya Yale tunayoyasoma kwenye MoU ya Serikali na Dubai kuhusu Bandari ya Dar. Kwahiyo ndio kusema MoU hii ni sawa na mkataba tu, tofauti yake ni kuwa hii inaweza kuhaririwa na kuondolewa yale yatakayobishaniwa na pande mbili kabla ya kusaini mkataba.

Kwahiyo ilimradi MoU na Mkataba wa Awali viko Public, Umma una haki ya kujadili na kukosoa kwa nguvu zote kwa lengo la kushauri marekebisho ya msingi. Kukosoa MoU haina maana tunaingilia Bunge, kila mtu kwa sehemu yake akosoe ashauri apinge na asifie, Ilimradi MoU iko public kwa umma. Aliyeleta kwa Umma MoU ni serikali, hivyo isiogope ukosozi, ipokee na iingatie hisia na matakwa ya umma!

Tuendelee kujalidi tusiruhusu wahalifu watuondoe kwenye mjadala kwakufanya spinning za kwamba Mh Mbowe kataja Uzanzibar nk, Hawa kina Kibajaji ni sehemu ya kundi la watanzania wenzetu wajinga tusiwape muda wetu. Tukumbuke sheria mbovu ya TISS inapitishwa katikati ya sakata la Bandari.

Na Yericko Nyerere

Ushiriki wa Mwanasheria Mkuu upoje hapo
 
Baada ya kujadili kilichopo ndani ya mkataba,munafanya kua mtaji wa kisiasa.
Upotoshaji umekua mwingi pande zote,wananchi munawachanganya mwisho munawatoa kwenye reli wanaanza kuweka itika za vyama vyao mbele.
Kwasasa mjadala umeamia kwenye ubaguzi wa kikanda ndio munazidi kuuposha umma hii nchi inakera sana
 
Kuna upotoshaji mkubwa kwamba kilichopo sasa ni MoU na Mkataba wa Awali tu hivyo hatuwezi kujadili kwamba Serikali imeingia mkataba na Dubai. Nafikiri tuwekane sawa kidogo na tupate tafsiri ya hayo maneno yana maana gani hasa.

Maana na Tafsiri halisi ya MoU - Memorandum of Understanding au kwakiswahili fasaha "Mkataba wa Makubaliano", Ni msingi unaowekwa kwaajili ya kusimamia jambo halisi ama mkataba kamili. Au ni Mwongozo kwaajili ya mkataba.

Pili kuna Mkataba wa Awali, Preliminary Agreement, haya ni Makubaliano ya Awali ya mkataba halusi ambayo lengo lake halisi huwa ni kuandaa utekelezaji wa mkataba. Kwa lugha nyingine tukiwa site tunaita mobilization site. Preliminary Agreement ikishatumika kwa muda uliowekwa haina kazi tena, mfano hii preliminary Agreement ya Serikali na Dubai ni ya miezi 12 kama wao wanavyosema japo hakuna palipoandikwa, na kwa muda mkataba ulivyosainiwa 25 October 2022, inamaana kwamba uhai wa Preliminary Agreement hiyo imebaki miezi 4 tu, ndiomaana wanakimbizana kutaka bunge liidhinishe fasta ili wasaini mkataba halisi. Kuna hoja kwamba kwanini Preliminary Agreement imeanza kufanya kazi kabla bunge halijaridhia kama sheria na katiba inavyotaka. Hili niwaachie Wanasheria Mh. Lissu na Mh. Peter Kibatala watatusaidia.

Mambo yote mawili hapo juu, yaani MoU na preliminary Agreement yana kazi moja tu kwamba mkataba halisi utakaosainiwa hautatoka nje ya kile mlichokubaliana kilichoandikwa kwenye MoU na Preliminary Agreement. Kwa lugha rahisi ni kuwa Mkataba halisi Kati ya Serikali na Dubai, hautatoka nje ya Yale tunayoyasoma kwenye MoU ya Serikali na Dubai kuhusu Bandari ya Dar. Kwahiyo ndio kusema MoU hii ni sawa na mkataba tu, tofauti yake ni kuwa hii inaweza kuhaririwa na kuondolewa yale yatakayobishaniwa na pande mbili kabla ya kusaini mkataba.

Kwahiyo ilimradi MoU na Mkataba wa Awali viko Public, Umma una haki ya kujadili na kukosoa kwa nguvu zote kwa lengo la kushauri marekebisho ya msingi. Kukosoa MoU haina maana tunaingilia Bunge, kila mtu kwa sehemu yake akosoe ashauri apinge na asifie, Ilimradi MoU iko public kwa umma. Aliyeleta kwa Umma MoU ni serikali, hivyo isiogope ukosozi, ipokee na iingatie hisia na matakwa ya umma!

Tuendelee kujalidi tusiruhusu wahalifu watuondoe kwenye mjadala kwakufanya spinning za kwamba Mh Mbowe kataja Uzanzibar nk, Hawa kina Kibajaji ni sehemu ya kundi la watanzania wenzetu wajinga tusiwape muda wetu. Tukumbuke sheria mbovu ya TISS inapitishwa katikati ya sakata la Bandari.

Na Yericko Nyerere

Wauze bandari, wauze airport, mwisho waje wauze na Tanesco kabisa ....
 
Ukweli usemwe huyo Bibi ana Nia mbaya na Tanganyika na hafai kuongoza JMT kabisa hivyo kuhusu mbowe hawataweza amesema ukweli, Kikwete alaumiwe kwa hili, nchi hii sasa hivi ni hovyo hovyo tu.

Nina mashaka pengine Membe alikataa hii kitu ndio watu wakafanya yao.

Hii kitu kuhusu bandari ifutwe kabisa mkikubali kopo liwaburuze wote mnakuwa makopo.

Potelea mbali kwenye hii ishu tutaua watu
 
Bongo tunaendeshwa kwa matukio kama.garibovu.


CAG report ndo ishazikwa hiyo.

Sheria ya TISS ishaboreshwa pamoja na povu letu la foma gold

Yale ya Loliondo ndo kushnei tena

Tunasubiri tukio turuke hewani.

Shida yetu ni CCM tuendelee kubembelezana kusuburia labda atatokea kiongozi humo atakayeisaidia nchi. Tuendelee kubet na maisha yetu
Tunasubiri Azam wamnunue Mayele tupate tena la kuzogoa.
FB_IMG_1572697051230.jpg
 
Back
Top Bottom