ZAITA Musica. ZAI yaani Zaire ambayo ndiyo DRC sasa na TA yaani Tanzania. Ndiyo bendi yake baada ya kupita bendi kadhaa tangu aingie nchini kutoka kwao.
Napenda kazi zake "marashi ya pemba", " nimlilie nani", "dunia msongamano" , ile aliyokopi Tshalla Muana "dezodezo" , kesi ya kanga". Jamaa alifanya kazi kubwa.
Mwenyezi Amrehemu.