Uko sahihi.Mtoto NI malezi.Tuwatamkie watoto mema Ili yaishi kwao.Hii issue ya majina hata sielewagi uhusiano wake wakati mwingine.Mbona kuna watotomajina ni mazuri Tu lakini watukutu balaa.Mfano ukamwita mtoto John kwa sababu lilikua ni jina la babako ndo mtoto anakua na tabia za babako.Mi naona cha msingi ni kumpa jina mtoto Bila kunuia tabia za mwenye jina.Sijui nimeelewaππ
watu tumekula hesabu za fasta kuhusu umri wako kupitia mdogo wako wa mwisho ungesema mpo wangapi tungekuambia umri wako ni ngapi mpaka sasa...out of topic πSiipendi tabia ya kurithisha majina kwa watoto, mengine yanabeba hadi tabia.....
Last born kwetu alipewa jina sijui la babu mzaa baba, basi huwa tunaambiwa alikuaga mkaliii afu anapotea tu nyumbani yani kama anatoroka hata mauti yalimkuta akiwa porini katoweka nyumbani.
Huyu last born sasa copy and paste jamaa mkali kama pilipili hata akikosa hataki kuulizwa yupo 30s ila hadi leo bado huwa anatoroka nyumbani.
Wazazi msiwape majina ya urithi watoto, heri ku gugu jina zuri mpe mtoto.
Humu jukwaani itakua ni wewe tu ndo haujui umri wangu πΉ hadi kadi ya clinic mbona ipo humuwatu tumekula hesabu za fasta kuhusu umri wako kupitia mdogo wako wa mwisho ungesema mpo wangapi tungekuambia umri wako ni ngapi mpaka sasa...out of topic π
Siipendi tabia ya kurithisha majina kwa watoto, mengine yanabeba hadi tabia.....
Last born kwetu alipewa jina sijui la babu mzaa baba, basi huwa tunaambiwa alikuaga mkaliii afu anapotea tu nyumbani yani kama anatoroka hata mauti yalimkuta akiwa porini katoweka nyumbani.
Huyu last born sasa copy and paste jamaa mkali kama pilipili hata akikosa hataki kuulizwa yupo 30s ila hadi leo bado huwa anatoroka nyumbani.
Wazazi msiwape majina ya urithi watoto, heri ku gugu jina zuri mpe mtoto.
Nakaribia kustaafu kwa lazima πKama ur last born yupo around 30s basi wewe tunabidi tukupigie mizinga arobaini
Nakaribia kustaafu kwa lazima π
Atatulia mwenyewe akitaka ni mtu mzima huyoMpaka ufike daraja H
Then huyo mdogo wako Kama anapotea potea jaribuni kumtuliza kwa maombi .
Ahaaa π€ kauli ya Mwalimu wa serikali aliyechoka maishaAtatulia mwenyewe akitaka ni mtu mzima huyo
Kwani uongo πΉπΉπΉπΉ soma usisome mshahara upo.Ahaaa π€ kauli ya Mwalimu wa serikali aliyechoka maisha
Msome msisome Mimi mshahara unaingia
Supu ya utumbo ndizi unakunywaga mammy love??Siipendi tabia ya kurithisha majina kwa watoto, mengine yanabeba hadi tabia.....
Last born kwetu alipewa jina sijui la babu mzaa baba, basi huwa tunaambiwa alikuaga mkaliii afu anapotea tu nyumbani yani kama anatoroka hata mauti yalimkuta akiwa porini katoweka nyumbani.
Huyu last born sasa copy and paste jamaa mkali kama pilipili hata akikosa hataki kuulizwa yupo 30s ila hadi leo bado huwa anatoroka nyumbani.
Wazazi msiwape majina ya urithi watoto, heri ku gugu jina zuri mpe mtoto.
Sasa nimeona katika familia nyingi, wazazi wengi hawajui au hawatambui kwamba vinywa vyao vimebeba baraka au laana kwa watoto wao.
Supu plain please.....ndizi + safari is equal to heartburn.Supu ya utumbo ndizi unakunywaga mammy love??
Neno lako sheria kwangu!! Karibu babySupu plain please.....ndizi + safari is equal to heartburn.
Mzazi mkoloni ππMimi ni baba nisiyependa ujinga kwa watoto wangu. Nina apply ukali (haswa) kwwnye tabia nisizopenda pindi ninapozi notice kwa wanangu.
Ni mkali sana kwenye hili huwa sina itani wala kucheka hata kidogo, sionyi kwa upole naonya kwa ukali na kiboko.
Nasisitiza always wanangu wafuate njia ninazo sisitiza juu yao, na waboreshe zaidi. Sina noma naa mtoto mtii na mwenye adili.
- Nafanya kaz zote za nyumban pamoja na wanangu (ni kawaida kabisa kukuta wife anafua, mimi napika, watoto wana deki au mimi nafua wao wanapika wife anafanya usafi ndani kifupi nyumban kwangu kila kazi ni ya kila mtu)
- Nina muda wa ibada na wanangu daily (saa 3 usiku na saa 11 alfajiri )
- Nina class time na wanangu daily (hasa mwanangu wa kwanza wa kike aliye secondary saa 10 alfajir daily)
- Kuna mambo kama mzazi huwa nakiri nimekosea pale napoona hapa sijawatendea haki au onyo limevuka mpaka, na kuwaambia wanisamehe pindi inapojitokeza.
- Huwa nawaweka bayana kabisa , hapa nyumbani ni kazi , asiyefanya kazi na asile. No free lunch ,breakfast or dinner kwa mtu asiyetimiza majukum.π.
Eyce knows
Ahahahah boooonge la mkoloni yani ππMzazi mkoloni ππ
Mimi ni baba nisiyependa ujinga kwa watoto wangu. Nina apply ukali (haswa) kwwnye tabia nisizopenda pindi ninapozi notice kwa wanangu.
Ni mkali sana kwenye hili huwa sina itani wala kucheka hata kidogo, sionyi kwa upole naonya kwa ukali na kiboko.
Nasisitiza always wanangu wafuate njia ninazo sisitiza juu yao, na waboreshe zaidi. Sina noma naa mtoto mtii na mwenye adili.
- Nafanya kaz zote za nyumban pamoja na wanangu (ni kawaida kabisa kukuta wife anafua, mimi napika, watoto wana deki au mimi nafua wao wanapika wife anafanya usafi ndani kifupi nyumban kwangu kila kazi ni ya kila mtu)
- Nina muda wa ibada na wanangu daily (saa 3 usiku na saa 11 alfajiri )
- Nina class time na wanangu daily (hasa mwanangu wa kwanza wa kike aliye secondary saa 10 alfajir daily)
- Kuna mambo kama mzazi huwa nakiri nimekosea pale napoona hapa sijawatendea haki au onyo limevuka mpaka, na kuwaambia wanisamehe pindi inapojitokeza.
- Huwa nawaweka bayana kabisa , hapa nyumbani ni kazi , asiyefanya kazi na asile. No free lunch ,breakfast or dinner kwa mtu asiyetimiza majukum.π.
Eyce knows
Mimi ni baba nisiyependa ujinga kwa watoto wangu. Nina apply ukali (haswa) kwwnye tabia nisizopenda pindi ninapozi notice kwa wanangu.
Ni mkali sana kwenye hili huwa sina itani wala kucheka hata kidogo, sionyi kwa upole naonya kwa ukali na kiboko.
Nasisitiza always wanangu wafuate njia ninazo sisitiza juu yao, na waboreshe zaidi. Sina noma naa mtoto mtii na mwenye adili.
- Nafanya kaz zote za nyumban pamoja na wanangu (ni kawaida kabisa kukuta wife anafua, mimi napika, watoto wana deki au mimi nafua wao wanapika wife anafanya usafi ndani kifupi nyumban kwangu kila kazi ni ya kila mtu)
- Nina muda wa ibada na wanangu daily (saa 3 usiku na saa 11 alfajiri )
- Nina class time na wanangu daily (hasa mwanangu wa kwanza wa kike aliye secondary saa 10 alfajir daily)
Umei-copy wapi hii Mzee wangu?
ππAhahahah boooonge la mkoloni yani ππ