Tuzungumzie alichofanya Ramos kwa Salah

Huo mkono wa ramos mbona umepinda kama anampiga mtu kiwiko!?..alipotega mkono hivoni lazma mkono wa salah uwe ndani hivo,huenda alilifanyia mazoezi hili,sasa baada ya hapo kaung'ang'ania had chini halafu akabilingika juu yake..ni kusudi,hii si mbinu ya mpira bali uwoga unaotokana na kukosa uwezo
 
ok basi tusubiri official release ya majibu ya daktari nadhani atakua proud sana kama ikigundulika kavunjika bega
Kwakweli itapendeza Sana Kama atakuwa amevunjika bega na shingo kabsa maana sioni mnacholalamikia hapa!
 
Mnataka super captain afanyeje?? Angemuua kabsa mngesemaje?? Shenzy Sana mashabiki fake wa andunjeee
 
Rudia tena kutukana hapa hapa!!!! Usichanganye na maneno mengine....just weka tusi. Nafikiri uminielewa....
Ndio hivyo huto tu Salah Ni ka bwana mdogo Sana kwa almighty Sergio Ramos, kombe la 3 kibindoni!
 
Ndio hivyo huto tu Salah Ni ka bwana mdogo Sana kwa almighty Sergio Ramos, kombe la 3 kibindoni!
Nimekwambia, rudia kutukana tena hapa hapa!!!!! Just weka tusi pekee ili twende sawa.!!!! wewe weka tusi tu....nakuomba emu Fanya hivyo basi....
 
Ili iwe Nini??
wewe si bingwa wa matusi??? siyo??? Ongea kila unachijisikia lakini USITUKANE. Andika kila kitu unachofikiria lakini siyo MATUSI.

Kama HAIWEZI KUWA NINI wewe rudia kutukana tena kama ulivyofanya hapo juu....
 
Well said. Watu wanajua mpira ni kucheza danadana tu.
 
wewe si bingwa wa matusi??? siyo??? Ongea kila unachijisikia lakini USITUKANE. Andika kila kitu unachofikiria lakini siyo MATUSI.

Kama HAIWEZI KUWA NINI wewe rudia kutukana tena kama ulivyofanya hapo juu....
Mkuu tunawekeana bastola shingo au?? Hahahahahaha! Unachekesha wewe!

Wengine hapa Ni hasira za kuliwa na mhindi Wala sio lingine!
 
unaweza kuniambia kwanini picha ya kwanza ramos kaung'ang'ania mkono hadi chini na akamaliza kwa kuulalia eti tu kwamba salah aliu lock mkono wake kwenye mkono wa ramos?!
Unaweza tuambia kwa nini picha ya pili Mo Salah kachomeka mkono wake hapo?
Jibu utalopata picha yq pili ndio jibu la picha ya kwanza.
 
Mkuu tunawekeana bastola shingo au?? Hahahahahaha! Unachekesha wewe!

Wengine hapa Ni hasira za kuliwa na mhindi Wala sio lingine!
Basi sawa. Wewe furahia ushindi tu na siyo matusi. Ni hayo tu.
 
Ramos alifanya makusudi kinachoshangaza mwamuzi alikuwa karibu lakini hakujali.Ile ni tabia ya Ramos,ana mambo ya kihuni ,alifanya hivyo baada ya kuona hali ni mbaya kwao.
Hivi mngepata kadi nyekundu hii mechi si mngeua mtu??
11 vs 11, mnatoka povu la hatari. Hii ndio maana mimi nilitaka liver wafungwe maana mnajifanya mnajua sana kuongea, katoka Mo Salah kwa faulu ya kawaida tu ila bahati mbaya timu nzima imeshindwa cheza sababu ya kutegemea mtu mmoja, sasa mnatafuta mchawi!
Na mpigwe tu, msimu wa tatu huu kwa Klopp akiwa Liver, kwa gundu na midomo ya mashabiki wa liver, ataendelea kuchukua ubingwa wa gengen pressing tu.
 
Most Red Carded Player in La Liga History,,,,


He is experienced,,,technically skilled ,,strong,,,


He Knew exactly what he was doing,,,,,


Remember,,,He is the Best Defender of all time,,,,

vipi swaum imekukaa au vipi? naona umeanza kuropokwa
 
Kwa experience zangu Ramos sio mchezaji wa maana kabisa. Ni mara ngapi huwa anamchezeaga Messi rafu za makusudi kabisa.
Kwahiyo elewa uchezaji wa Ramos sio wa kistaarabu.

Ni ms**** Tu huyu. Anataka kuharibu na kuumiza wachezaji.
 
Kwa experience zangu Ramos sio mchezaji wa maana kabisa. Ni mara ngapi huwa anamchezeaga Messi rafu za makusudi kabisa.
Kwahiyo elewa uchezaji wa Ramos sio wa kistaarabu.

Ni ms**** Tu huyu. Anataka kuharibu na kuumiza wachezaji.
Mpira wa miguu sio kula maandazi au biscuits.

Mpira wa miguu ni vita.

Wewe unafikiri s.ramos angewacha Mo sarah apite ingekuwaje kwa mashabiki wa real madrid?
 
Mpira wa miguu sio kula maandazi au biscuits.

Mpira wa miguu ni vita.

Wewe unafikiri s.ramos angewacha Mo sarah apite ingekuwaje kwa mashabiki wa real madrid?
Mkuu Sisi mashabiki tunaendaga uwanjani kuangalia burudani. Hatuendi kuangalia mieleka pale.
Beki ukipitwa na forward tunasubiri tuone uhodari wa kipa langoni.
Sasa we ukipitwa unapiga mieleka.

Ile sio football hata kdg.
Am telling you that.
 
kwahiyo ulitakaje labda??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…