Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Pia zilla mweupe peeeee nursery englishHujanielewa,me nazungumzia zama hizi,sio zamani hizo..historia inajulikana mziki ulianza na english.. KU..diplomatz..tafuta nyimbo ya José mtambo AM OLD SCHOOL kazungumzia vizuri habari hii
hahaaaSure jay z kwa langa ni mweupe kama CCM bila police
wammanyireKaka voda ni Mpuz Mmja alikuwa mikocheni kingoko pale
Ova
Usingizi ndugu yake kifo usipende kulala
Naflow......sio narap!Kuna mstari anasema "na rap kwa kingereza,na rap kiswahili,,hata jigga haniwezi,,.me na rap kwa Lugha Mbili"
Huo wimbo rafiki wa kweli ni wimbo bora sana kuwahi kutokea,ni bahati mbaya sana haukupata airtime ya kutosha na wengi hawaufahamu ila utabaki kuwa timeless hit song,the best of its kind!Wewe sasa kama sio Daud sijui..kuna mwana nlisoma nae secondary,nlikua producer wake..kila tukiamka lazima snipe mstari wa langa...hakuna mstari wa langa ambao sijawahi kusikia..ngoma take Rafiki Wa Kweli is my Favorite from him
Naflow kwa kingereza, naflow kwa Kiswahili, naflow kwa lugha mbili hata jigga hanipati.Naflow......sio narap!
Hata jigga haniwezi me na flow kwa lugha mbiliNaflow kwa kingereza, naflow kwa Kiswahili, naflow kwa lugha mbili hata jigga hanipati.
Humjui motech vizuri so shut upMore na langa ,Langa mkali but langa hakuwekeza nguvu nyingi kwenye game,alikua busy na starehe
Kitu nanyonga mwenyewe simuamini pusha haukawii kuuziwa famba ukaambiwa cha arusha.ukiniona msafi chokoza uone moto,sitokei Masaki natokea King'oko"Langa
RIP LANGA KILEO,
Kimbia Babuu Ft Langa
Wapi Shehe Ponda wapi General Komba Sirikali Serakali cheza mbali na wajomba..
Endelea mistari iliyobakia....
Roho saba huyu sasa hivi ni Captain wa jeshi. Anajua zaid ya tunavyojua maana ya kujua. Natafuta ngoma zake maana naonaga waite polisi na nakupenda hip hop tuNgwea \ Langa walikua na vipaji vikubwa sana walitumia nusu ya kipaji kuna mwingine anitwa Roho saba awa jamaa basi
Yes langa ni fundi aise nlikuwa naskilizaga pini yake ile rafiki dah udongo umelamba wengiMore na langa ,Langa mkali but langa hakuwekeza nguvu nyingi kwenye game,alikua busy na starehe