Tuzungumzie hili bifu lililowahi kutokea kati ya Langa na Jay Moe

Tuzungumzie hili bifu lililowahi kutokea kati ya Langa na Jay Moe

Wewe sasa kama sio Daud sijui..kuna mwana nlisoma nae secondary,nlikua producer wake..kila tukiamka lazima snipe mstari wa langa...hakuna mstari wa langa ambao sijawahi kusikia..ngoma take Rafiki Wa Kweli is my Favorite from him
Huo wimbo rafiki wa kweli ni wimbo bora sana kuwahi kutokea,ni bahati mbaya sana haukupata airtime ya kutosha na wengi hawaufahamu ila utabaki kuwa timeless hit song,the best of its kind!
 
Langa alinikosha sana hasa kwenye ile nyimbo ya kimbia 'wapi shempemba wapi jenerali Komba sirikali serekali cheza mbali na wajomba'
 
Naflow kwa kingereza, naflow kwa Kiswahili, naflow kwa lugha mbili hata jigga hanipati.
Hata jigga haniwezi me na flow kwa lugha mbili
Nakula kaya nyingi kama vile Nyahbinghi
Najua mambo mengi naweza kumfundisha dingi
Mc namba one
Mfalme wa mitaani
Wapinzani nawapiga vichwa kama zidane
Nakueleza mambo usiyofundishwa darasani

I'm a bad man,rudebwoy a run tings
Every other day I'm up to something
I'm a bad man rudebwoy a run tings
Wherever you go remwmber one ting

I'm hustler,you are just another customer
Nakutoa kafara ukitaka kuleta uhasama
Me ni master nawakilisha kama ambassador
Elimu dunia,kidogo elimu akhera
Niko so high haunifikii hata kwa antena
Nina plan ya kuuza album,
Kama icecream za azam,
Wakigusa tu wananasa sababu mzigo mtamu
Zam zam,yako imepita sasa yangu ina-come
Hatulipii goli serikali haitufahamu
Napenda mikwanja kama mangi wa kichaga
So na-supply maujanja mistari yenye ladha
Wanaongelea pamba kumbe famba kariakoo
Wanaongelea ganja kumbe hawajui hata ku-roll
Gangster gangster tokeo kwenye roho,
Bad man na hardcore,rough-ragga n roll
 
Back
Top Bottom