Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna fake cctv 😄CCTV wahuni waliweka geresha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna fake cctv 😄CCTV wahuni waliweka geresha
Mkuu, unadhani hizi drama zitaondolewa na katiba mpya?Hii nchi haiishi drama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakifanya hivyo itasaidia sana kupunguza rushwa, wizi, uonevu, ufisadi na kuongeza uwajibikaji.Ifike muda ofisi na taasisi zote za serikali kufungwe cctv cameras.
Kwanza TV 15 zote za nini kwa hospitali moja?
=======
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amemuelekeza Katibu Tawala wa Mkoa huo kuwasimamisha kazi baadhi ya Watumishi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe akiwemo Katibu wa Afya, Watu wa Idara ya manunuzi pamoja na wenye duka.
Kazi rahisi tuu,wapenzi siku hao staff wa Hospital kama hawajamtaja mwizi Kata salary zao tuu kufidia.
=======
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amemuelekeza Katibu Tawala wa Mkoa huo kuwasimamisha kazi baadhi ya Watumishi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe akiwemo Katibu wa Afya, Watu wa Idara ya manunuzi pamoja na Idara ya TEHAMA ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za wizi wa TV 15 pamoja na kompyuta tatu katika Hospitali hiyo.
wa wamekuwa wakishirikiana katika shughuli mbalimbali ambapo mpaka sasa fedha hiyo pia bado haijalipwa kwa mwenye duka.
Hospitali kama ina CCTV kamera, kitu ambacho nina uhakika zipo,walishindwaje kuwatrack wezi....?
Kuna namna hapo,wabanwe hasahasa.
Nchi imejaa majangili tupu, 15 TV zinaibwaje?"Waliweza kupewa bila maandishi yoyote kwa kuwa wamekuwa wakishirikiana katika shughuli mbalimbali....." Ofisi ya serikali hakuna maandishi?
Huu ndio wizi. Huyu na Dangote wa Arusha aliyeuawa wametofautiana tu kiasi elimu na ofisi. Stupid in Mama's voice.
Umeme ukikatika hazifanyi kazi simple ama kuzimwa?Kama mwizi mtu wa CCTV camera utamtack vip masta ? Hukuliwaza hili ?
CCM ni aibu, hizo hazikununuliwa zilipigwa kama zilizovyo, zilinunuliwa TV hewa, UMMY kanunua magari hewa mia 3Tangu July RC anashtuka leo?
Yaaah kuna namna tofauti alafu nyingi za kuzifanya ziIme zisifanye kaziUmeme ukikatika hazifanyi kazi simple ama kuzimwa?
Mbona ni vitu vidogo sana?
=======
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amemuelekeza Katibu Tawala wa Mkoa huo kuwasimamisha kazi baadhi ya a mwenye duka.
Nani CCM sasq?Mbona ni vitu vidogo sana?
Kama Ccm mnaweza kuiba kura nchi nzima na mkaona ni sawa
Ina stajabisha nini tv 15? Mbona ni kidogo sana?
Mtu anaset baada ya muda zinazimaYaaah kuna namna tofauti alafu nyingi za kuzifanya ziIme zisifanye kazi
Mkuu hii ni sanaa kama ulivyosema. Tena ni sanaa ya uonevu. Huko juu wanapiga mabilioni ije kuwa hivyo vi-TV? Hawa watu wanadhani wana hati miliki ya kuiba wenyewe na ngazi za chini hawaruhusiwi kuiba?Sanaa zinaendelea kama kawaida kwenye kichaka cha wapigaji...🤣
Huyu baba ebu atulie, mwishowe atatenguliwa na asipangiwe tena kituo cha kazi...😂
Hii nchi wanasiasa wana nguvu kuliko watendaji....teh🤗