joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Sioni chochote kipya kutoka ETV, TV yenyewe mara siku nyingine ikate, mara giza. Kuhusu kushindana bado sana nahisi baada ya miaka mitano ndio tuanze kuwafikiria kuwapita clouds, TV ambayo ni nzuri ni EATV kuanzia vipindi, graphics ila clouds kwa mwaka huu wetoa upinzani mkubwa kwa EATV hasa upande wa vipindi (take one, clouds 360,the weekend chart show au shilawadu, kambi popote, siz kitaa). Ila clouds upande wa graphics bado EATV wapo vizuri, hao ETV wafanye kazi sana na wawe wabunifu mwisho wa siku watabaki kama wenzao TV 1 wapo wapo tu vipindi hawana ingawa upande wa graphics wapo vizuri.