Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
0777650286, chukua hiyo namba nitext nikutumiePicha hazifunguki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0777650286, chukua hiyo namba nitext nikutumiePicha hazifunguki
boss,mwenyewe zamani nilikuwa na mawazo kama yako..ila toka niimgie uwanja wa smart tena android nimesahau kitu kinachoitwa kisambuzi ni mimi na bundle langu tuSmart ya nn
Hisense 43" zinaanzia sh 850,000 kwenda juu,kwa bei ya 500k nielekeze duka nika purchase.Hisense 43inch smart, au homebase ukipotea sana goodvision
Bora kununua second hand brand kubwa ila hizi za kichina basi tu.Hisence imeshikilia soko sana ila binafsi naona kama haina tofauti yoyote na star x maana hata bei zinaendana. Vioo vyao ni low quality watu wengi wanalalamika vinapasuka kwa urahisi.hazivumilii mikiki kama brand kubwa akina LG,Samsung, na sony
Unataka uuziwe TV ya samsung kwa bei gani mkuu usifananishe samsung na RisingInch 32 kwa 500k? Hivi mnaishi mikoani
Hata Samsung sio 500k inch 32 mbili ww utakua mshamba wa TV au unatoka kijijn au umetoka kijijn umevamia mji au ulipgwa kariakoo ndo unazan ndo bei yakeUnataka uuziwe TV ya samsung kwa bei gani mkuu usifananishe samsung na Rising
Hahaha nadhani wew ndio idiot mkubwa maana umekariri kariakoo tu ...ondoa tongotongo kwanza ndo unijibu sio unaropoka tu mkuuHata Samsung sio 500k inch 32 mbili ww utakua mshamba wa TV au unatoka kijijn au umetoka kijijn umevamia mji au ulipgwa kariakoo ndo unazan ndo bei yake
Ushamba unakusumbua wakuja nahisi kabsa ww ni muhaHahaha nadhani wew ndio idiot mkubwa maana umekariri kariakoo tu ...ondoa tongotongo kwanza ndo unijibu sio unaropoka tu mkuu
Kwa Android tv, ila Hisense, Samsung, LG na brand nyingi ili uone iptv ni mpaka ulipie.boss,mwenyewe zamani nilikuwa na mawazo kama yako..ila toka niimgie uwanja wa smart tena android nimesahau kitu kinachoitwa kisambuzi ni mimi na bundle langu tu
Kuna duka lipo Posta mitaa ya Central Police linaitwa PS ELETRONICS, Instagram id yao ni @ps.electronics nilipita na kuona wana Tv zinaitwa ELECTROPLUS zenyewe ni FHD na ni Android 11. Bei yao ni Tshs. 900,000/= inchi 55 na Tshs. 500,000/= inchi 43.Hisense 43" zinaanzia sh 850,000 kwenda juu,kwa bei ya 500k nielekeze duka nika purchase.
Halafu kwenye TCL tulifanikiwa kuinstall yaccine tv apk ila YTV player (inapatikana play store) ikagoma na kusema haisapoti. Mpaka leo hakuna enjoymentKwa Android tv, ila Hisense, Samsung, LG na brand nyingi ili uone iptv ni mpaka ulipie.
Endelea kukaza fuvu we juha mm co muha ...nakusihi endelea kubeti makabila....damn!!!Ushamba unakusumbua wakuja nahisi kabsa ww ni muha
Huwa kuna apk za Android tv na za simu, si app zote za simu zinakubali kwenye tv, nimewahi kuiona Yaccine kwenye Mi box s hivyo app ya tv ipo. Unaweza pia kujaribu hii versionHalafu kwenye TCL tulifanikiwa kuinstall yaccine tv apk ila YTV player (inapatikana play store) ikagoma na kusema haisapoti. Mpaka leo hakuna enjoyment
Halafu kwenye TCL tulifanikiwa kuinstall yaccine tv apk ila YTV player (inapatikana play store) ikagoma na kusema haisapoti. Mpaka leo hakuna enjoym
kaka hiyo ytv player download google ile apk yake then iweke kwenye flash kainstall kwa tv.mimi nimefanikiwa naangalia hapa fresh tuHalafu kwenye TCL tulifanikiwa kuinstall yaccine tv apk ila YTV player (inapatikana play store) ikagoma na kusema haisapoti. Mpaka leo hakuna enjoyment
ni kweli mkuu,mimi nilijaribu kuchomeka mouse ya pc ili support nilitumia kama week hivi ikapotea sijui nilichezea wapi.Huwa kuna apk za Android tv na za simu, si app zote za simu zinakubali kwenye tv, nimewahi kuiona Yaccine kwenye Mi box s hivyo app ya tv ipo. Unaweza pia kujaribu hii version
Yacine TV App - SMART Device
تحميل تطبيق ياسين تيفي النسخة الاخيرة YTV Player تحميل تطبيق المشغل للسمارت تيفيapp.yacineapp.tv
Pia app nyengine za Android hazipo optimized kutumia up, down, left na right kama remote nyingi za smart zilivyo, utahitaji mouse ya nje ama Ku convert remote yako kuwa mouse nafkiri setting ipo kwenye developer settings.
mkuu kabla ya kuweka hizo apk utazodownload make sure umeruhusu tv yako ikubali kuingiza unknown resoures, kule kwenye setting ya tv yako.hizi android tv pia zina mtindo wa kumeza apk ambayo haipo playstore...unakuta umeinstall vzr tu apks zako baada ya mda huzioni.ili kusolve hilo nenda setting za playstore kazime ile playstore protection...ila kimbuka tv yako itakuwa hatiani na malware mbalimbali.take a risk .....Halafu kwenye TCL tulifanikiwa kuinstall yaccine tv apk ila YTV player (inapatikana play store) ikagoma na kusema haisapoti. Mpaka leo hakuna enjoyment
VIDAA ya HISENSE inaingiliana na androidHuwa kuna apk za Android tv na za simu, si app zote za simu zinakubali kwenye tv, nimewahi kuiona Yaccine kwenye Mi box s hivyo app ya tv ipo. Unaweza pia kujaribu hii version
Yacine TV App - SMART Device
تحميل تطبيق ياسين تيفي النسخة الاخيرة YTV Player تحميل تطبيق المشغل للسمارت تيفيapp.yacineapp.tv
Pia app nyengine za Android hazipo optimized kutumia up, down, left na right kama remote nyingi za smart zilivyo, utahitaji mouse ya nje ama Ku convert remote yako kuwa mouse nafkiri setting ipo kwenye developer settings.
Haiiingiliani mkuu sema tu zipo Hisense za Amdroid tv. Vidaa ni proprietary Os na apps zake unazihesabu hata kwa Vidole.VIDAA ya HISENSE inaingiliana na android
Haiiingiliani mkuu sema tu zipo Hisense za Android tv. Vidaa ni proprietary Os na apps zake unazihesabu hata kwa Vidole.VIDAA ya HISENSE inaingiliana na android