EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Poa ngoja niuze hii nihamie Samsung mtumbaHaiiingiliani mkuu sema tu zipo Hisense za Android tv. Vidaa ni proprietary Os na apps zake unazihesabu hata kwa Vidole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa ngoja niuze hii nihamie Samsung mtumbaHaiiingiliani mkuu sema tu zipo Hisense za Android tv. Vidaa ni proprietary Os na apps zake unazihesabu hata kwa Vidole.
Samsung pia sio Android tv mkuu, kama unauza upgrade kwa mambo mengine ila software bado itakua issue. Sema angalau kidogo Software ya Samsung ni nyepesi.Poa ngoja niuze hii nihamie Samsung mtumba
Kuna huyu anataka kuniuzia hii Samsung nipe ushauri 55" kwa 1M nahisi kama nataka kupigwaHaiiingiliani mkuu sema tu zipo Hisense za Android tv. Vidaa ni proprietary Os na apps zake unazihesabu hata kwa Vidole.
Nishauri ipi itanifaa ila mi sio.mtu wa kutumia bando kwa ajili ya TV😎Samsung pia sio Android tv mkuu, kama unauza upgrade kwa mambo mengine ila software bado itakua issue. Sema angalau kidogo Software ya Samsung ni nyepesi.
Ahsante mkuu. Na nimeona kuna TCL za Google Tv na za android tv. Sasa hizo ina maana zitakuwa na tofauti kwenye upatikanaji wa Apps? Na ipi ni OS nzuri zaidi (recommended), kwa maana ya ukikuta TV zenye sifa sawa na brand ni moja tofauti tu ni OS hizo, uchukue ipi?Haiiingiliani mkuu sema tu zipo Hisense za Amdroid tv. Vidaa ni proprietary Os na apps zake unazihesabu hata kwa Vidole.
Hata Dar ni mkoani tena kuna price kubwa kuliko.Inch 32 kwa 500k? Hivi mnaishi mikoani
Google ni OS?Ahsante mkuu. Na nimeona kuna TCL za Google Tv na za android tv. Sasa hizo ina maana zitakuwa na tofauti kwenye upatikanaji wa Apps? Na ipi ni OS nzuri zaidi (recommended), kwa maana ya ukikuta TV zenye sifa sawa na brand ni moja tofauti tu ni OS hizo, uchukue ipi?
Kwanini mkuu?Ningekua ni mimi kutokana na muda na wakati ningenunua Hisense
Hizi second hand zinapatikana wapiBora kununua second hand brand kubwa ila hizi za kichina basi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata Dar ni mkoani tena kuna price kubwa kuliko.
Samsung inch 32 Tunduma ni 190K ili ifike Dodoma ni only 10K
Nakuja pmHata Dar ni mkoani tena kuna price kubwa kuliko.
Samsung inch 32 Tunduma ni 190K ili ifike Dodoma ni only 10K
Mmh hii si namba yako mkuu !!!Kuna duka lipo Posta mitaa ya Central Police linaitwa PS ELETRONICS, Instagram id yao ni @ps.electronics nilipita na kuona wana Tv zinaitwa ELECTROPLUS zenyewe ni FHD na ni Android 11. Bei yao ni Tshs. 900,000/= inchi 55 na Tshs. 500,000/= inchi 43.
Hizo TV nimetafuta taarifa zake mitandaoni, naona hazina shida ni nzuri.
Namba yao ya simu ni 0754023316
Android tv na Google tv ni kitu hicho hicho ni Android utofauti ni Muonekano, Google tv ni Launcher yenye muonekano Tofauti. Google tv ni mpya maybe inaweza kuashiria hio TV ni model ya karibuni.Ahsante mkuu. Na nimeona kuna TCL za Google Tv na za android tv. Sasa hizo ina maana zitakuwa na tofauti kwenye upatikanaji wa Apps? Na ipi ni OS nzuri zaidi (recommended), kwa maana ya ukikuta TV zenye sifa sawa na brand ni moja tofauti tu ni OS hizo, uchukue ipi?
Kama hutumii hizo feature ya smart hakuna utofauti ukiwa na Vidaa ama google tv. Angalia tu mambo mengine kama Quality ya kioo.Nishauri ipi itanifaa ila mi sio.mtu wa kutumia bando kwa ajili ya TV😎
Asante pamoja sana mkuu.Kuna duka lipo Posta mitaa ya Central Police linaitwa PS ELETRONICS, Instagram id yao ni @ps.electronics nilipita na kuona wana Tv zinaitwa ELECTROPLUS zenyewe ni FHD na ni Android 11. Bei yao ni Tshs. 900,000/= inchi 55 na Tshs. 500,000/= inchi 43.
Hizo TV nimetafuta taarifa zake mitandaoni, naona hazina shida ni nzuri.
Namba yao ya simu ni 0754023316