Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aborderBrand ipi boss
imeandikwa ,,solar tv,,Labda ya Solar
imeandikwa solar tvAngalia isije ikawa zile za Solar. Jaribu kudisconect umeme! Kisha iwashe....ikiwaka itakuwa na Backup battery ndani yake. Maana zipo TV zina backup Battery ndani yake
aborder,,solar tv,,Ni Kampumi gani mkuu?
Au ina mfumo wa android....Wakuu, nimenunua TV ya kichina mpya, iko vizuri tu.
Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia, inaonyesha alama ya battery na 100%, sijui inamaanisha nini?
Android Zipo TV mpaka zenye majina makubwa zinatumia Android OSAu ina mfumo wa android....
Cheap is eksipensiveeee
So inaweza fanya kazi kwa betri kama akuna solar au umeme. Jaribu kuiwasha bila kuweka umemeimeandikwa solar tv
Zenye majina makubwa zinatumia Android tv ama Google tv yenyewe kabisa ambayo ipo optimized kwa ajili ya tv.Android Zipo TV mpaka zenye majina makubwa zinatumia Android OS
Mchina noma kaka. Anapiga sana USA kwenye Licencing ya Products zao😂Kabla ya TCRA kuwabana kwenye Simu jamaa walikuwa wana zaidi ya Simu aina Elfu moja zote Imei no ni moja😂Zenye majina makubwa zinatumia Android tv ama Google tv yenyewe kabisa ambayo ipo optimized kwa ajili ya tv.
Mchina choka mbaya huwa anatumia android ya simu kisha anaweka launcher.
Hahahaha.Si umesema ni ya kichina mkuu?
🤣🤣Hahahaha.
To yeye mambo🤣🤣
Poa,vp Kamanda?To yeye mambo