EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,565
- 1,918
Digital tv aina ya mobisol ipo sokoni imetumika mwezi mmoja tu
Sababu ya kuuza: nipate mtaji wa kuongeza kwenye biashara zangu
Nilinunua au ni ya wizi: jibu ni hapana kuna ndugu yangu aliniletea anafanya kazi kampuni hiyo
Napatikana wapi: kibaha
Sifa za tv: ina king'amuzi cha ndani yaani huitaji kuwa na king'amuzi kuona local channel na zinginezo nyiiingi kama bbc, dw, citizen, ktn nk. Ni wewe na antena yako tu
- Ina usb port 2, hdmi port 2, audio output
- Inatumia umeme wa dc 12-19 volt hata ukiwa na betry ya gari inawaka na hainyonyi sana betry, pia umeme wa ac kwa kutumia pc adptor
- Inafaa kutumika wapi: nyumbani, ukumbini nk.
- Mawasiliano: 0787 429 104 tuma sms nitajibu zote serious buyer tafadhari usinipigie simu
Sababu ya kuuza: nipate mtaji wa kuongeza kwenye biashara zangu
Nilinunua au ni ya wizi: jibu ni hapana kuna ndugu yangu aliniletea anafanya kazi kampuni hiyo
Napatikana wapi: kibaha
Sifa za tv: ina king'amuzi cha ndani yaani huitaji kuwa na king'amuzi kuona local channel na zinginezo nyiiingi kama bbc, dw, citizen, ktn nk. Ni wewe na antena yako tu
- Ina usb port 2, hdmi port 2, audio output
- Inatumia umeme wa dc 12-19 volt hata ukiwa na betry ya gari inawaka na hainyonyi sana betry, pia umeme wa ac kwa kutumia pc adptor
- Inafaa kutumika wapi: nyumbani, ukumbini nk.
- Mawasiliano: 0787 429 104 tuma sms nitajibu zote serious buyer tafadhari usinipigie simu