TV Mpya vs. Mtumba: Ipi ni Bora kwa Bajeti ya Milioni 1.5

TV Mpya vs. Mtumba: Ipi ni Bora kwa Bajeti ya Milioni 1.5

Wataalamu wa mambo naomba msaada wenu katika uamuzi huu. Nina bajeti ya milioni 1.5 kwa ajili ya kununua TV, na leo nimezunguka madukani kutafuta chaguo bora.

Katika maduka ya bidhaa mpya, nimepata TV mbili zinazovutia:

  1. Hisense 65A6K/N – UHD Smart 4K
  2. TCL UHD Smart 4K
Zote zinauzwa kwa milioni 1.5, na zinakuja na zawadi za HDMI cable, Wall bracket, na delivery ya bure. Pia, zinakuwa na warranty ya mwaka mmoja.

Baada ya hapo, niliamua kutembelea maduka ya bidhaa za mtumba. Huko, nilipata chaguo mbili za kuvutia zaidi:

  1. Sony Bravia 65XE7002 – UHD Smart 4K, Made in Japan (2017)
  2. AVA FFalcon 65UF1 – UHD Smart 4K, Made in Australia
TV hizi za mtumba zinauzwa kwa milioni 1.4, lakini hazina miguu (stand), remote, wall bracket, HDMI cable, wala delivery ya bure. Pia, warranty inayotolewa ni ya miezi 6 pekee.

Sasa, nimebaki nikitafakari kama nichukue TV mpya za Kichina (Hisense ama TCL) ambazo zinakuja na warrant ndefu na vifaa vya ziada, au nichukue Sony ya mtumba, ambayo ni brand kubwa na inajulikana kwa kudumu muda mrefu, licha ya kuwa na warranty fupi.

Kwa kuzingatia ubora wa picha, uimara wa TV, na faida za kila chaguo, je, wadau mnanishauri nichague ipi? Nipo tayari kupokea ushauri kutoka kwa wenye uzoefu wa vifaa hivi.

Asanteni sana!
Ngoja waje
Cc : Tumbili wa mjini
 
chief,vifaa vya mitumba ni sawa na mtu anaye andaa mkeka wa kubeti means una bahatisha kama kifaa kitakuwa kizuri au laa.
1.4 Mil ni parefu,au unaichezea shilingi kwenye tundu choo.

New brand ndo mpango mzima.
 
Wataalamu wa mambo naomba msaada wenu katika uamuzi huu. Nina bajeti ya milioni 1.5 kwa ajili ya kununua TV, na leo nimezunguka madukani kutafuta chaguo bora.

Katika maduka ya bidhaa mpya, nimepata TV mbili zinazovutia:

  1. Hisense 65A6K/N – UHD Smart 4K
  2. TCL UHD Smart 4K
Zote zinauzwa kwa milioni 1.5, na zinakuja na zawadi za HDMI cable, Wall bracket, na delivery ya bure. Pia, zinakuwa na warranty ya mwaka mmoja.

Baada ya hapo, niliamua kutembelea maduka ya bidhaa za mtumba. Huko, nilipata chaguo mbili za kuvutia zaidi:

  1. Sony Bravia 65XE7002 – UHD Smart 4K, Made in Japan (2017)
  2. AVA FFalcon 65UF1 – UHD Smart 4K, Made in Australia
TV hizi za mtumba zinauzwa kwa milioni 1.4, lakini hazina miguu (stand), remote, wall bracket, HDMI cable, wala delivery ya bure. Pia, warranty inayotolewa ni ya miezi 6 pekee.

Sasa, nimebaki nikitafakari kama nichukue TV mpya za Kichina (Hisense ama TCL) ambazo zinakuja na warrant ndefu na vifaa vya ziada, au nichukue Sony ya mtumba, ambayo ni brand kubwa na inajulikana kwa kudumu muda mrefu, licha ya kuwa na warranty fupi.

Kwa kuzingatia ubora wa picha, uimara wa TV, na faida za kila chaguo, je, wadau mnanishauri nichague ipi? Nipo tayari kupokea ushauri kutoka kwa wenye uzoefu wa vifaa hivi.

Asanteni sana!
Zote ni bora. Je vipi wewe na kichanga nani mbora?
 
Mbona hujaweka kubwa lao Samsung? Mimi Tv kama sio Samsung basi Sony, nikikosa kabisa nitachukua LG kishingo upande.

Kwa hii case yako hapa ningechukia Sony, ila chukua sehemu ya kuaminika maana used kama imeshapigwa vyuma ni pasua kichwa.
Samsung ugonjwa wa vioo kuweka mistari kati na hatimaye kioo kizima kuwa giza hijawahi pata tiba.
 
Kwa brand ,hio mitumba miwili ni mizuri ila sasa je unauwezo wa kukagua spea moja moja kama haijawahi badilishwana kuweza kuona kama iko good au lah,Binafsi yangu mimi kwa bei ya 1.4m hapana wanauza bei juu sana,kama wanaweza shuka angalau 1m hapo sawa ila zingatia kuchunguza kwa makini (naimani hapa wauzaji wataleta utata),Mbali na hapo kaa na TCl tu ,kuhusu ulaji wa umeme soma spec utajua ni ulaji upi wa umeme upo kwa kifaa husika
 
Wataalamu wa mambo naomba msaada wenu katika uamuzi huu. Nina bajeti ya milioni 1.5 kwa ajili ya kununua TV, na leo nimezunguka madukani kutafuta chaguo bora.

Katika maduka ya bidhaa mpya, nimepata TV mbili zinazovutia:

  1. Hisense 65A6K/N – UHD Smart 4K
  2. TCL UHD Smart 4K
Zote zinauzwa kwa milioni 1.5, na zinakuja na zawadi za HDMI cable, Wall bracket, na delivery ya bure. Pia, zinakuwa na warranty ya mwaka mmoja.

Baada ya hapo, niliamua kutembelea maduka ya bidhaa za mtumba. Huko, nilipata chaguo mbili za kuvutia zaidi:

  1. Sony Bravia 65XE7002 – UHD Smart 4K, Made in Japan (2017)
  2. AVA FFalcon 65UF1 – UHD Smart 4K, Made in Australia
TV hizi za mtumba zinauzwa kwa milioni 1.4, lakini hazina miguu (stand), remote, wall bracket, HDMI cable, wala delivery ya bure. Pia, warranty inayotolewa ni ya miezi 6 pekee.

Sasa, nimebaki nikitafakari kama nichukue TV mpya za Kichina (Hisense ama TCL) ambazo zinakuja na warrant ndefu na vifaa vya ziada, au nichukue Sony ya mtumba, ambayo ni brand kubwa na inajulikana kwa kudumu muda mrefu, licha ya kuwa na warranty fupi.

Kwa kuzingatia ubora wa picha, uimara wa TV, na faida za kila chaguo, je, wadau mnanishauri nichague ipi? Nipo tayari kupokea ushauri kutoka kwa wenye uzoefu wa vifaa hivi.

Asanteni sana!
Kwa 1.5M kama unanunua TV mtumba angalau iwe Oled, kutumia 1.5M kununua LED wakati at same price unapata LED mpya si wazo zuri.

Hisense U6/U6N series inakuwa considered kama best budget TV Kwa hio price point,

TCL Q651 series nazo nzuri kama mtu WA kucheza games.
 
Kwa 1.5M kama unanunua TV mtumba angalau iwe Oled, kutumia 1.5M kununua LED wakati at same price unapata LED mpya si wazo zuri.

Hisense U6/U6N series inakuwa considered kama best budget TV Kwa hio price point,

TCL Q651 series nazo nzuri kama mtu WA kucheza games.
TCL 65Q651 sio itakua zaidi ya 1.5M, maana naona model nyingi za kawaida ndo wanauza bei hio???
 
Chukua tcl au hisense mpya ila muhimu tu iwe kwa trusted dealer. Kuna tv copy nyingi sana sasa madukani tena nyingine zimekuwa assembled humu humu mitaani
 
Kwa 1.5M kama unanunua TV mtumba angalau iwe Oled, kutumia 1.5M kununua LED wakati at same price unapata LED mpya si wazo zuri.

Hisense U6/U6N series inakuwa considered kama best budget TV Kwa hio price point,

TCL Q651 series nazo nzuri kama mtu WA kucheza games.
Hivi mkuu wewe ukiambiwa uchague kati ya hisence na TCL zote zikiwa sawa Kwa kila kitu in terms of features na specifications.

Utachagua ipi mkuu
 
Back
Top Bottom