Tv Star X smart Tv inanitia ushamba naombeni msaada

Tv Star X smart Tv inanitia ushamba naombeni msaada

Llio 002

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
1,636
Reaction score
2,053
Habari wana jukwaa juzi nimenunua Tv aina ya Star X inch 50 smart Tv 4k UHD. Wakati nainunua hii Tv waliniwekea baadhi ya video kutoka Youtube na zikawa zinaonesha clear sana hadi nilipenda kwa kweli na jamaa alini setia pale resolution nadhani akaniwekea 1080i@50Hz...

Nilivyokuja nyumbani nikaifunga ile Tv then nikaiunganisha na king'amuzi cha Azam baadhi ya channel picha zake zikawa hazipo clear kama ilivyokuwa kule dukani, baadaye nikaja nikaiunganisha na Dstv pia nayo ikawa the same baadhi ya channel picha haipo clear, sasa lengo langu likawa labda nibadilishe kutoka 1080i@50Hz kwenda juu zaidi lakini sijuwi wanabadilishia wapi. Au Tv yangu haina tatizo sema baadhi ya channel ndizo ambazo hazipo HD? Nikiangalia video za Youtube zinaonesha vizuri hadi raha. Naombeni msaada kwa yeyote anayejuwa

CHIEF MKWAWA
extrovet
 
Nimekupata boss
mbona jibu unalo kwamba uliwekewa video zenye ubora mkubwa!!!

hayo maving'amuzi utaishia kuichukia tv yako tu,yana channel maalumu zenye ubora huo kama azam sport hd nk.
 
Tatizo Lipata Ufumbuzi
😁😂😀😅😄😃😃😃😄😅😅
Tanzania Ni Tajiri
Ujanjaujanja Mwingi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nilitegemea Dstv itakuwa iko vizuri lskini nayo baadhi ya channeli ndio ziko clear zaidi kuliko zingine
Si chanel zote ambazo ni hd. Jaribu azam sport hd1. Kama inaonyesga vyema basi tv haina shida.

[emoji3][emoji3]Navuta picha ukiunga na deck zenu hizi za singsung[emoji125]
 
Si chanel zote ambazo ni hd. Jaribu azam sport hd1. Kama inaonyesga vyema basi tv haina shida.

😀😀Navuta picha ukiunga na deck zenu hizi za singsung🏃
Haa😁😂😅😄😃😁😂🤣🤣
Utasababisha Television Irudishwe Dukani Jamaa Akadai Chake
 
Nimenunua king'amuz nimepewa channel za offa ndio maziangalia hapa boss

Family hicho, channel zenye hd ni chache sana hapo. Ukitaka kujua kama tv yako kwel ni hd 4k nenda youtube then watch video afu nenda sehem ya kuchagua quality utaona 480k,720k,1080p, 2160p hio 2160p ndo 4k kwa baadh ya tv huwa 2060p ndo 4k yenyew cheki, usikute wamekubadilishia box wahun
 
Hiyo sehemu ya kuchaguwa quality ndio naitafuta lakini mpaka muda huu sijaipata naipatia wapi boss lwenye tv ya Star X?
Family hicho, channel zenye hd ni chache sana hapo. Ukitaka kujua kama tv yako kwel ni hd 4k nenda youtube then watch video afu nenda sehem ya kuchagua quality utaona 480k,720k,1080p, 2160p hio 2160p ndo 4k kwa baadh ya tv huwa 2060p ndo 4k yenyew cheki, usikute wamekubadilishia box wahun
 
Habari wana jukwaa juzi nimenunua Tv aina ya Star X inch 50 smart Tv 4k UHD. Wakati nainunua hii Tv waliniwekea baadhi ya video kutoka Youtube na zikawa zinaonesha clear sana hadi nilipenda kwa kweli na jamaa alini setia pale resolution nadhani akaniwekea 1080i@50Hz... nilivyokuja nyumbani nikaifunga ile Tv then nikaiunganisha na king'amuzi cha Azam baadhi ya channel picha zake zikawa hazipo clear kama ilivyokuwa kule dukani,baadaye nikaja nikaiunganisha na Dstv pia nayo ikawa the same baadhi ya channel picha haipo clear,sasa lengo langu likawa labda nibadilishe kutoka 1080i@50Hz kwenda juu zaidi lakini sijuwi wanabadilishia wapi. Au Tv yangu haina tatizo sema baadhi ya channel ndizo ambazo hazipo HD? Nikiangalia video za Youtube zinaonesha vizuri hadi raha. Naombeni msaada kwa yeyote anayejuwa

CHIEF MKWAWA
extrovet
Mkuu Youtube video zake ni nzuri sababu nyingi zina format ya FULL HD yani 1080p na nyingine ni Ultra High Definition ama 4K.

Haya maving'amuzi mengi yana Quality ya SD ama 480p ila channel za HD kama azam sports 1&2 ndio walau zina 720p.

Kimsingi usighafilike ni ving'amuzi ndio havina Quality mkuu. Kama mpenzi wa Quality basi tumia Youtube kuangalizia Content ili ufaidi vizuri TV yako.
 
Hiyo sehemu ya kuchaguwa quality ndio naitafuta lakini mpaka muda huu sijaipata naipatia wapi boss lwenye tv ya Star X?
Hii ya Setting huwa iko by default kama ni TV ya FullHD basi always inakuwa on the best setting na refresh rate.

Mfano hio yako ina Upscale kwenda 1080i 50Hz maana ndio best setting kwa input.
 
Nakushukuru sana kiongozi umeniondolea hofu maana nimetowa mapesa mengi halafu nikawa sielewi elewi
Hii ya Setting huwa iko by default kama ni TV ya FullHD basi always inakuwa on the best setting na refresh rate.

Mfano hio yako ina Upscale kwenda 1080i 50Hz maana ndio best setting kwa input.
 
Back
Top Bottom