Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
𤣠mkuu bado hujajibu mtandao unaotumiaHio Pesa unayonunua 10GB tugawane mzee baba. Nikuunge kwenye mtandao wangu naotumia. Hutaamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
𤣠mkuu bado hujajibu mtandao unaotumiaHio Pesa unayonunua 10GB tugawane mzee baba. Nikuunge kwenye mtandao wangu naotumia. Hutaamini.
ZANTEL braza𤣠mkuu bado hujajibu mtandao unaotumia
Duh!safi sanaZANTEL braza
Hivi Dstv ili niangalie nipate channel za mipura zore natakiwa nilipite kifurushi cha Tsh ngapi?
Ukitaka uone HD ya DSTV weka chanell namba 100 ile ya matangazo ya chanell zao...[emoji23][emoji23][emoji23] nilitegemea Dstv itakuwa iko vizuri lskini nayo baadhi ya channeli ndio ziko clear zaidi kuliko zingine
Najuaje kwamba huu waya ni HDMI au RCA?Waya sio ishu sana. Quality ni ile ile tu mie nimetumia RCA na HDMI kitu ni kile kile tu sema RCA huwa zinatenganisha picha na sauti tu while HDMI inabeba zote.
Si decoder zote za Dstv ni HD, hata kama chanell ni HD kama decoder si Hd hutapata quality nzuri.
Unatumia decoder model gani?
Gharama kubwa.. kizuri gharamaHivi kwanini Chanel zote wasiweke HD Kuna Siri gani hapo?
Unatumia TV ya chogo nini?šNajuaje kwamba huu waya ni HDMI au RCA?
sababu me waya wangu unasababisha tv inatoa muungurumo wa kukoroma hivi.
Channel zote zikiwa HD si kifurushi cha bei ya chini kitauzwa laki 2šGharama kubwa.. kizuri gharama
Gharama kubwa.. kizuri gharama
Channel zote zikiwa HD si kifurushi cha bei ya chini kitauzwa laki 2[emoji13]
Kurusha matangazo kwenye sattelite kwa HD ni aghali.Ebu weka mchanganuo wa gharama.
Kipi kinafanya Chanel kuwa HD iwe NI gharama?
Chengine mkuu si kila tv ni ya Dstv, mfano Tbc ipo dstv ila sio ya Dstv, hivyo hio chanell kutokuwa Hd si kosa Lao.Ina maana hela tunazolipa hazitoshi kutuwekea HD station zote?
Ntanunua line soon.ZANTEL braza
"RCA" ndio zile nywaya 3 ..Njano, Nyeupe na Nyekundu kiongozi ila HDMI ndo ule waya 1 unaofanana na chaja za smartfone.Najuaje kwamba huu waya ni HDMI au RCA?
sababu me waya wangu unasababisha tv inatoa muungurumo wa kukoroma hivi.
HutajutaNtanunua line soon.
Gharama kuanzia vipindi itabidi viwekwe kwenye mfumo wa HD then gharama ya kurusha matangazo inaongezeka mara 2 zaidi ya channel ya kawaida kwenda kwenye satellite kwa sababu inabidi warushe SD na HD kwa pamoja ili kukava wasio na Tv au visimbuzi vya HD mbele mbele huko watu wote Tukiwa na Tv za HD gharama zitapungua na channel zitaongezeka.Ebu weka mchanganuo wa gharama.
Kipi kinafanya Chanel kuwa HD iwe NI gharama?