Tv Star X smart Tv inanitia ushamba naombeni msaada

Tv Star X smart Tv inanitia ushamba naombeni msaada

Thanke you broo
Mie binafsi napendaga ku stream sana ngoma youtube kuliko kuziangalia Direct kwenye king'amuzi. Hakikisha ume connect Home Theatre yako au Subs [emoji16][emoji16][emoji16] Enjoy!!!
 
Hivi Dstv ili niangalie nipate channel za mipura zore natakiwa nilipite kifurushi cha Tsh ngapi?
Mie binafsi napendaga ku stream sana ngoma youtube kuliko kuziangalia Direct kwenye king'amuzi. Hakikisha ume connect Home Theatre yako au Subs [emoji16][emoji16][emoji16] Enjoy!!!
 
Habari wana jukwaa juzi nimenunua Tv aina ya Star X inch 50 smart Tv 4k UHD. Wakati nainunua hii Tv waliniwekea baadhi ya video kutoka Youtube na zikawa zinaonesha clear sana hadi nilipenda kwa kweli na jamaa alini setia pale resolution nadhani akaniwekea 1080i@50Hz... nilivyokuja nyumbani nikaifunga ile Tv then nikaiunganisha na king'amuzi cha Azam baadhi ya channel picha zake zikawa hazipo clear kama ilivyokuwa kule dukani,baadaye nikaja nikaiunganisha na Dstv pia nayo ikawa the same baadhi ya channel picha haipo clear,sasa lengo langu likawa labda nibadilishe kutoka 1080i@50Hz kwenda juu zaidi lakini sijuwi wanabadilishia wapi. Au Tv yangu haina tatizo sema baadhi ya channel ndizo ambazo hazipo HD? Nikiangalia video za Youtube zinaonesha vizuri hadi raha. Naombeni msaada kwa yeyote anayejuwa

CHIEF MKWAWA
extrovet
Acha kuangaika mkuu , endelea tu kutumia TV yako hakuna jipya utakalopata
 
Channel kama Supersport Premier League na yenyewe quality ndogo au hiyo dstv unaangalia channel gani,isije ikawa unaangalia tbc kwenye dstv ukadhani itakuwa hd kisa ni dstv

Shida hapo ni hizo channel unazo cheki sio hd..so usiwe na chaka na hiyo tv
 
Mkuu Youtube video zake ni nzuri sababu nyingi zina format ya FULL HD yani 1080p na nyingine ni Ultra High Definition ama 4K.

Haya maving'amuzi mengi yana Quality ya SD ama 480p ila channel za HD kama azam sports 1&2 ndio walau zina 720p.

Kimsingi usighafilike ni ving'amuzi ndio havina Quality mkuu. Kama mpenzi wa Quality basi tumia Youtube kuangalizia Content ili ufaidi vizuri TV yako.
Hivi bongo youtube mnatumia internet za mtandao gani kuangalia youtube,maana natumia ya voda kifurushi cha gb 10 kwa wiki natumia siku 2 tu na hapo bila kutazama youtube!?
 
Hivi bongo youtube mnatumia internet za mtandao gani kuangalia youtube,maana natumia ya voda kifurushi cha gb 10 kwa wiki natumia siku 2 tu na hapo bila kutazama youtube!?
Mi nawashangaa watu kama wewe mnaolalamika... Maybe sababu nilishaacha kuwa mjinga.

I can watch a 2 hours full movie on Youtube, Car reviews nazotaka, videos kwa gharama ya sh.1000 tu in 3 days! Na naweza kuvipandanisha vifurushi nitakavyo sema huku tuko wachache ndio maana tunafaidi.

Yani sina uoga wa kuingia youtube kabisa ila mtu mwenye tigo au voda akikuona umeshika simu yake unaingia youtube, Instagram au facebook lazma akukazie uso.😂😂😂
 
Mkuu unatumia mtandao gani
Zantel for Lifestyle mzee...Siku nyingi nilishaachana na hao matapeli Voda na Tigo na mwenzao Halotel ambae karithi tabia za wizi.

Im feeling so free na matumizi ya mtandao. Nshasahu zile presha za umebakiwa na MB5 wakati ulijiunga maybe 1GB ndani ya madakika machache tu. 😂😂😂

Vocha ilikuwa mtihani zamani ila kwa sikuhizi simply tia hela Mpesa, Jirushie kwa mitandao mingine kwenda EzyPesa. Jiunge vifurushi vyako maisha yaendelee!!!
 
Mtandao gani? Funguka tukuwezeshe
Mzee natumia Zantel sikuhizi as my main card. Huku ukiuziwa 1GB ni ya kikweli. Sio unauziwa data za kitapeli zile walizo tweak nazo. Unaona umepewa 1GB kumbe wamekupa 500MB kihalisia.
 
Waya sio ishu sana. Quality ni ile ile tu mie nimetumia RCA na HDMI kitu ni kile kile tu sema RCA huwa zinatenganisha picha na sauti tu while HDMI inabeba zote.
Acha uwongo mkuu...huwezi fananisha quality ya rca na hdmi hata siku moja...hdmi ni best zaidi
 
Acha uwongo mkuu...huwezi fananisha quality ya rca na hdmi hata siku moja...hdmi ni best zaidi
Mie siwezi bishana kwa kitu ambacho nimekifanya practically. Amini unavyoamini ila signals za RCA na za HDMI hazina tofauti.

Tafta king'amuzi punch HDMI. Weka Azam HD zile switch inputs halafu uone kama kutakuwa na Tofauti katika picha.
 
Habari wana jukwaa juzi nimenunua Tv aina ya Star X inch 50 smart Tv 4k UHD. Wakati nainunua hii Tv waliniwekea baadhi ya video kutoka Youtube na zikawa zinaonesha clear sana hadi nilipenda kwa kweli na jamaa alini setia pale resolution nadhani akaniwekea 1080i@50Hz... nilivyokuja nyumbani nikaifunga ile Tv then nikaiunganisha na king'amuzi cha Azam baadhi ya channel picha zake zikawa hazipo clear kama ilivyokuwa kule dukani,baadaye nikaja nikaiunganisha na Dstv pia nayo ikawa the same baadhi ya channel picha haipo clear,sasa lengo langu likawa labda nibadilishe kutoka 1080i@50Hz kwenda juu zaidi lakini sijuwi wanabadilishia wapi. Au Tv yangu haina tatizo sema baadhi ya channel ndizo ambazo hazipo HD? Nikiangalia video za Youtube zinaonesha vizuri hadi raha. Naombeni msaada kwa yeyote anayejuwa

CHIEF MKWAWA
extrovet
Si decoder zote za Dstv ni HD, hata kama chanell ni HD kama decoder si Hd hutapata quality nzuri.

Unatumia decoder model gani?
 
Back
Top Bottom