Mkuu hii tv bado ipoHabari wana Jf,Tv aina ya Vitron inchi 32 pamoja na Sabufa aina ya Aborder inapiga mziki mnenen vyote vinauzwa kwa pamoja na bei ni Tshs 330,000/=
Viyu vipo Gongo la mboto Moshi Bar.
0689 150 968
0625 576082_WatsappView attachment 1767751
Unatumia mtandao gani mkuu?Hio Pesa unayonunua 10GB tugawane mzee baba. Nikuunge kwenye mtandao wangu naotumia. Hutaamini.
Kwa hapa nitatofautiana na wewe futi 1000. HDMI inakuwa quality zaidi jombaa. Kajaribu tenaMie siwezi bishana kwa kitu ambacho nimekifanya practically. Amini unavyoamini ila signals za RCA na za HDMI hazina tofauti.
Tafta king'amuzi punch HDMI. Weka Azam HD zile switch inputs halafu uone kama kutakuwa na Tofauti katika picha.
Bora eatv, star TV ni mbovu mbovu kuliko. Kwanza sound yao huwa sijui ikojeTrue ndo nawaza mimi apa nina inch 43 zile channel ambazo sio hd zinaonyesha vibaya mno,sasa sipati picha wenye inch 65 huko sijui wanaangaliaje channel mfano eatv
SawaKwa hapa nitatofautiana na wewe futi 1000. HDMI inakuwa quality zaidi jombaa. Kajaribu tena
ZantelUnatumia mtandao gani mkuu?
Hii ni kweli kabisa,waya hazileti tofauti za picha. Natumia king'amuzi cha Canal+ nimeliona hili.Mie siwezi bishana kwa kitu ambacho nimekifanya practically. Amini unavyoamini ila signals za RCA na za HDMI hazina tofauti.
Tafta king'amuzi punch HDMI. Weka Azam HD zile switch inputs halafu uone kama kutakuwa na Tofauti katika picha.
Watu wanajiongopea tu eti quality ipo juu! Ah wapi tofauti ni kuwa ile moja inapitisha picha na sauti kwenye cable moja ila RCA kila channel inakuwa decoded kivyakeHii ni kweli kabisa,waya hazileti tofauti za picha. Natumia king'amuzi cha Canal+ nimeliona hili.
Hdmi, high definition multimedia interface.Watu wanajiongopea tu eti quality ipo juu! Ah wapi tofauti ni kuwa ile moja inapitisha picha na sauti kwenye cable moja ila RCA kila channel inakuwa decoded kivyake