daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
kama ujakigonga kimeanza chenyewe 0652 500 649 nicheki
Mkuu mi ninazo hapa home kama mbili hivi zilivunjika kioo, niliamua kuwa nanunua nyingine baada kununua kioo ilikuwa mwaka 2018 ilini cost laki tatu na picha hazikurudi katika ubora wake, nakushauri nunua nyingine tu maana utapata kwa laki tatu na nusuLeo Kwa bahati mbaya Nimepasua Kioo Cha TV Yangu Hisense Inch 32 Nipo Njia panda Je kunaunafuu wa Kubadilisha kioo au Ninunue Nyingine
[emoji23][emoji23][emoji23]Tv ukivunja kioo inauma sana..ila hakuna namna ni kununua nyingine tu. Ni bora waibe kuliko kioo kuvunjika...maana unabaki na kopo ndani hata sehem ya kulitupa unakosa.
Mkuu hapo ndo unapoishi [emoji848][emoji848]
🤣🤣🤣🤣Mkuu hapo ndo unapoishi [emoji848][emoji848]
Mkuu hiyo Sony anaipata kwa 350?Mkuu mi ninazo hapa home kama mbili hivi zilivunjika kioo, niliamua kuwa nanunua nyingine baada kununua kioo ilikuwa mwaka 2018 ilini cost laki tatu na picha hazikurudi katika ubora wake, nakushauri nunua nyingine tu maana utapata kwa laki tatu na nusu