TV1 Kurusha Live ligi kuu ya Uingereza(EPL)

Hapi no mwendo wa game moja kwa wiki kama wanahuakika wataonyedhs game yote watoe ratiba kbs
 
Ngoja tusubiri tuone, usiwaamini sana wabongo kwa ishu kama hizi
 
Ni offer maana hata wateja wapya pia wanapewa offer kuangalia bure kifurushi cha compact bure mwezi mzma
Halafu ss5 n home of la liga sema wanaonyeshaga pia mechi za epl
Ss3 ndo epl
 
Maana yangu, tulikimbilia kununua dish na visimbusi vya GTV,ambayo nayo haikudumu hata miezi Minne.
Gtv walifilisika kipindi kile kwny anguko la uchumi halafu dstv walivyo wajanja waka inunua maana iliwaletea ushindani sana ndo sasa inaitwa gotv
 
Gtv walifilisika kipindi kile kwny anguko la uchumi halafu dstv walivyo wajanja waka inunua maana iliwaletea ushindani sana ndo sasa inaitwa gotv

Nawakumbuka sana GTV.

Hawakuwaga strict sana kama walivyo DSTV hasa ktk malipo ya ada ya kila mwezi

Nakumbuka, kama trh yako ya kulipa imefika na ukashindwa kulipa, hawatakukatia matangazo hata kwa wiki mbili au zaidi mbele.

Hii ni tofauti kabisa na DSTV, kwani hawa jamaa kama huwa unalipa kila trh 5 ya kila mwezi ni sharti ifikapo trh hiyo uwe umelipa kinyume chake ukichelewa tu, wanaanza kukuondolea channel moja baada ya nyingine!!
 
TV1 si ni channel moja...kwa hiyo watazamaji hatutakuwa na uamuzi wa kuchagua mechi gani tuangalie wakati mechi tatu zinachezwa wakati mmoja. Au wamenunua na channels nyingine za star times kwa ajili ya kuonyesha mechi zote za epl bure?
 
Na la liga vipi aisee wataonyesha?..maana ndio ligi bora duniani,
 
Tv 1 acheni kukatisha katisha vipindi kwa kuweka matangazo Mara kwa mara


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Utapeli mwingine mjini...watu waaingia kichwakichwa na kuishia kuangalia game moja kwa wiki
 
Wadau,mtaalamu wa uchambuzi wa masuala ya mpira yupo live sasa hivi ndani ya TV1.Huyu mzee anajua sana.
 
Ni habari njemba sana kwa ss wapenzi wa soka...lkn nafikiria kuhusu ishu ya match selection na idadi ya match kwa siku ..
 
Kwa dunia ya kibepari hakuna kitu cha bure.
 

Mkuu nimekuelewa inakuwaje Zanzibar wanaona zote na Dstv IPO kwa 10000 tu kupitia Zanzibar cable na coconut
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…