Tvs vs boxer (bei ya hizi pikipikina ubora)

Tvs vs boxer (bei ya hizi pikipikina ubora)

Mtagombana bureee[emoji3][emoji3]yoote hio ni matumizi tu ya mafuta, kilomita 120 kwa lita hapo ndio napo mkubali mdosi[emoji3]haitoshi nchini kwao kwa kuzidi kujibajet na mafuta taxi zao zooote zinatumia gesi
Nilitaka kuwasha sigara jamaa alikuwa mkali kinoooma[emoji3]sikujua kama taxi yake inatumia gesi
MKUU ULITAKA UTOE BOMU LA KITALEBANI NNI
 
boxer x 125 ndo pikpik km 60 litre moja kama unataka kununua kwa biashara nichek inbox nauza yangu ipo bongo nataka niende ughaibuni
 
Mimi ninamiliki Bm 150 inaniletea 270000 per month kila baada ya 700km nabadili oil wahiyo inalipa
 
Back
Top Bottom