ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,299
Nop nop.....niweke masahihisho tafadhali.....TVs ni2,350,000 na boxer bm 150 ni 2,700,000....samahanini sana wakuuTvs kwa sasa hizi 150 ni around 3,350,000,,,,,boxer 150 ni around 3,700,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nop nop.....niweke masahihisho tafadhali.....TVs ni2,350,000 na boxer bm 150 ni 2,700,000....samahanini sana wakuuTvs kwa sasa hizi 150 ni around 3,350,000,,,,,boxer 150 ni around 3,700,000
Nop nop.....niweke masahihisho tafadhali.....TVs ni2,350,000 na boxer bm 150 ni 2,700,000....samahanini sana wakuu
Bajaji pikipiki miguu miwili au mitatu.Tvs kwa sasa hizi 150 ni around 3,350,000,,,,,boxer 150 ni around 3,700,000
MKUU ULITAKA UTOE BOMU LA KITALEBANI NNIMtagombana bureee[emoji3][emoji3]yoote hio ni matumizi tu ya mafuta, kilomita 120 kwa lita hapo ndio napo mkubali mdosi[emoji3]haitoshi nchini kwao kwa kuzidi kujibajet na mafuta taxi zao zooote zinatumia gesi
Nilitaka kuwasha sigara jamaa alikuwa mkali kinoooma[emoji3]sikujua kama taxi yake inatumia gesi
timing chain ndp nn mkuu wengine wagenikuna pikipiki zinaitwa sinoray za mchina ni timing chain
Mkuu hapo nimeangalia bei za arusha boss...dar yaweza kuwa tofautiJana ulilewa mkuu??
Pia bado kwenye boxer umepuyanga
Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
Pesa ya kitanzania au Uganda?[emoji4] [emoji4]Tvs kwa sasa hizi 150 ni around 3,350,000,,,,,boxer 150 ni around 3,700,000
Sinoray au shineray???kuna pikipiki zinaitwa sinoray za mchina ni timing chain
Sinoray au shineray???
Oksinoray ni matoleo.mapya
[emoji23][emoji23][emoji23] za Congo kinsashaAisee bei za wapi hizi?