Tvs vs boxer (bei ya hizi pikipikina ubora)

kuna pikipiki zinaitwa sinoray za mchina ni timing chain
 
MKUU ULITAKA UTOE BOMU LA KITALEBANI NNI
 
boxer x 125 ndo pikpik km 60 litre moja kama unataka kununua kwa biashara nichek inbox nauza yangu ipo bongo nataka niende ughaibuni
 
Mimi ninamiliki Bm 150 inaniletea 270000 per month kila baada ya 700km nabadili oil wahiyo inalipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…