Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
USIKU WA VITASA: Vitasa kutoka PTA Sabasaba ambapo wababe Twaha Kiduku na Sirimongkhon watashuka ulingoni kuzichapa, hapa utavisikia tu paaaah paaah paaaah
Bendera Chuma Mlingoti Chuma
Records
Twaha Kassimu Rubaha/Twaha Kiduku (Mtanzania)
Ana miaka 28
Amepanda ulingoni mara 22, jumla ya rounds 128
Ameshinda mara 15, na 8 kati ya aliyoshinda ni kwa KO's ameshindwa mara 6, mara moja alipigwa kwa KO, pia amesuluhu mara moja
Sirimongkhon Iamthuam/Sirimongkol Singwancha(Mthailand)
Ana miaka 43
Amepanda ulingoni mara 101, amepambana jumla ya rounds 609
Ameshinda mara 97, na 92 kati ya ushindi ni kwa KO's ameshindwa mara 4, mara 1 alipigwa KO
Uzito ni Light Heavy
Mapambano ya Utangulizi
1. Hamza Iddi Vs Jamal Kunoga
Pambano la Rounds 8
Uzito: Fly
Mshindi: Hamza Iddy
2. Said Wigo (Unyoya) Vs Francis Miyeyusho
Rounds: 10
Uzito wa kati
Mshindi: Francis Miyeyusho ameshinda kwa knockout
3. Maono Ally Vs Joseph Sinkala
Uzito wa Kati
Rounds 19
Mshindi: Maono Ally kashinda kwa knock out
4. Alfonce Mchumiatumbo vs Shaaban Jongo
Uzito wa Juu
Rounds: 10
Mshindi: Shaaban Jongo
5. Twaha Kiduku (Tanzania) vs Sirimongkhon (Thailand)
Uzito wa juu
Rounds: 12
Mshindi:
Stay Here for updates
Bendera Chuma Mlingoti Chuma
Records
Twaha Kassimu Rubaha/Twaha Kiduku (Mtanzania)
Ana miaka 28
Amepanda ulingoni mara 22, jumla ya rounds 128
Ameshinda mara 15, na 8 kati ya aliyoshinda ni kwa KO's ameshindwa mara 6, mara moja alipigwa kwa KO, pia amesuluhu mara moja
Sirimongkhon Iamthuam/Sirimongkol Singwancha(Mthailand)
Ana miaka 43
Amepanda ulingoni mara 101, amepambana jumla ya rounds 609
Ameshinda mara 97, na 92 kati ya ushindi ni kwa KO's ameshindwa mara 4, mara 1 alipigwa KO
Uzito ni Light Heavy
Mapambano ya Utangulizi
1. Hamza Iddi Vs Jamal Kunoga
Pambano la Rounds 8
Uzito: Fly
Mshindi: Hamza Iddy
2. Said Wigo (Unyoya) Vs Francis Miyeyusho
Rounds: 10
Uzito wa kati
Mshindi: Francis Miyeyusho ameshinda kwa knockout
3. Maono Ally Vs Joseph Sinkala
Uzito wa Kati
Rounds 19
Mshindi: Maono Ally kashinda kwa knock out
4. Alfonce Mchumiatumbo vs Shaaban Jongo
Uzito wa Juu
Rounds: 10
Mshindi: Shaaban Jongo
5. Twaha Kiduku (Tanzania) vs Sirimongkhon (Thailand)
Uzito wa juu
Rounds: 12
Mshindi:
Stay Here for updates