Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Si kweli, au ulikuwa unaangalia kwenye channel yako peke yako!!!???Kuna balaa Kiduku anapondwa hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli, au ulikuwa unaangalia kwenye channel yako peke yako!!!???Kuna balaa Kiduku anapondwa hatari.
Yes hutunzwa, ila Kiduku kashinda kwa uwezo. Mwarabu kakutana nazo nyingi.As it expected...mcheza kwao hutunzwa
Kiduku anastahili,Kwani kapendelewa? Mbona kiduku kacheza fresh na anastahili huu ubingwa.
Wabongo hatupendani kabisa.Kiduku anastahili,
Jamaa Hana ngumi yoyote ya Maana kapiga, kazi kukimbia kimbia tu
Mmisri Ni bondia mzuri,Hili Pambano bila Shaka anapoteza Lkn huyu mmisri atakuja Kuwa Bondia Mkubwa..!
Wengine hawajui Maana ya boxing,Wabongo hatupendani kabisa.
Basi tu alimradi wapinge. Na unakuta wengine hata kutazama hawajatazama, yani alimradi tu naye achangie negativity ilomjaa.Wengine hawajui Maana ya boxing,
Wanajua Ni kushambulia TU,
Twaha kapiga ngumi za point
Sahii kabisa,Basi tu alimradi wapinge. Na unakuta wengine hata kutazama hawajatazama, yani alimradi tu naye achangie negativity ilomjaa.
Na umpige aanguke azimie, akizinduka ujue kashindaUkiwa ugenini bila kupiga mtu KO huwezi shinda.
Kabisa mkuu yule Mmisri ni bonding bora sana kifupi anaujua mchezo wa ngumi kifupi yule jamaa kashindwa kapoteza pambano sio kupigwa. Twaha ni bondia bora sana kwa sasa.Sahii kabisa,
Kiduku kastahili,
Japo mpinzani wake na alikua mzur Sana, anapigana kwa akili na kujitahid kucheza na jukwaa ili kumtoa kiduku mchezoni.
Kiduku angelegeza alikua anapigwa KO mapema mno,
TvT watarusha za mgaoWakuu leo kuna pambano la Ngumi Kati ya Kiduku na Muarabu anatoka Misri
.
Mimi ninachokiona ni Kwamba Hili hawa Vijana wetu Wawe Bora.
1. Wacheza Haya mapambano nje ya Tanzania pia ili tuone Ubora wanaouonesha wakiwa nje ya Tz.
.
2. Watafutiwe Mabondia wenye Ubora Zaidi.
.
Mabondia wengi wanaoletwa Huku Ni wale ambao hawana Ubora na ndio maana tunaona kama Mabondia wetu wana Ubora Zaidi.
.
Hivyo basi Ubora Huu wanaouonesha Huku Tanzania wakauoneshe pia nje ya Tanzania.
.
I stand to be Corrected [emoji120][emoji120][emoji120]
.
Hance Mtanashati screpa Nk Nk Nk