Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ujumbe wake huu hapa
Binafsi Naunga Mkono jambo hili na Namtakia kila la heri
Binafsi Naunga Mkono jambo hili na Namtakia kila la heri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe hahusiki na jambo hili, hata yeye alisailiwa na chupuchupu kukatwa!Mbowe ni mtu hatari sana
We aisee kweli??Mbowe hahusiki na jambo hili, hata yeye alisailiwa na chupuchupu kukatwa!
Hivi hamuelewi maana ya Usaili, kapigwa maswali magumu hadi akadhani sekretarieti ile siyo ya Chadema! Katolewa nje mara 2 ili ajadiliweWe aisee kweli??
Mbowe 1 analeta mambo ya ccm yenye watu milioni 20. Basi huyu geniusMbowe analeta mambo ya CCM huko CDM, yale mapendano yao kumbe anajifunza mengi pia.
Hadi sasa ni wazi Lissu atapokwa ushindi.
Anayechuja Wajumbe siyo Mbowe, Jaribu kumsingizia jambo lingine, hili hapana.Mbowe analeta mambo ya CCM huko CDM, yale mapendano yao kumbe anajifunza mengi pia.
Hadi sasa ni wazi Lissu atapokwa ushindi.
Kila kitu hapo kina baraka zake na ndio mipango yake hiyo.Anayechuja Wajumbe siyo Mbowe, Jaribu kumsingizia jambo lingine, hili hapana.
Hama chama, kaungane na Lipumba kuipa nguvu cuf.Kila kitu hapo kina baraka zake na ndio mipango yake hiyo.
Kwani, anayeteka na kuua ni Rais wa nchi? Lakini kwanini lawama zote tunampa yeye?
Sina chama, mimi ni raia mwema na mzalendo.Hama chama, kaungane na Lipumba kuipa nguvu cuf.
Haaah haaaah aisee sema huyu dogo Twaha anaipenda sana CHADEMA kila la kheri sidhani kama atatoboaHivi hamuelewi maana ya Usaili, kapigwa maswali magumu hadi akadhani sekretarieti ile siyo ya Chadema! Katolewa nje mara 2 ili ajadiliwe
Mfuasi itakuwa wa lissuSina chama, mimi ni raia mwema na mzalendo.
Naam, sahihi kabisa.Mfuasi itakuwa wa lissu
Ngoja tusubiri, lakini mi nadhani ni vema akarejeshwa ili apigiwe kuraHaaah haaaah aisee sema huyu dogo Twaha anaipenda sana CHADEMA kila la kheri sidhani kama atatoboa