kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Apambane na hali yake!Ujumbe wake huu hapa
View attachment 3207373
Binafsi Naunga Mkono jambo hili na Namtakia kila la heri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apambane na hali yake!Ujumbe wake huu hapa
View attachment 3207373
Binafsi Naunga Mkono jambo hili na Namtakia kila la heri
Mbona Heche kaachwa?Naam, sahihi kabisa.
Ni hatari kuliko kirusi cha COVID-19.Mbowe ni mtu hatari sana
Unakata matawi mti unauacha ujikaukie wenyewe, unalijua hili sana acha unafiki.Mbona Heche kaachwa?
Punguza uchawa broo,Anayechuja Wajumbe siyo Mbowe, Jaribu kumsingizia jambo lingine, hili hapana.
Sidhani kama ni kweli. Za ndani nilizozisikia ni kuwa ile kamati inayoundwa na wenyeviti wa kanda, walikuwa wanataka Lisu akatwe, lakini wakahofia watu.Mbowe hahusiki na jambo hili, hata yeye alisailiwa na chupuchupu kukatwa!
Acha kuwafanya watu watoto weeeMbowe hahusiki na jambo hili, hata yeye alisailiwa na chupuchupu kukatwa!
Hakuna yeyote anayeweza kuthubutu kukata jina la Sultani Mbowe.Mbowe hahusiki na jambo hili, hata yeye alisailiwa na chupuchupu kukatwa!
Kuenguliwa hakupangwi, unaenguliwa baada ya kusailiwa, lazima muheshimu viongozi wengine, kwamba Mnyika hana uwezo wa kutafakari hadi atumwe na Mbowe! Acheni dharauSidhani kama ni kweli. Za ndani nilizozisikia ni kuwa ile kamati inayoundwa na wenyeviti wa kanda, walikuwa wanataka Lisu akatwe, lakini wakahofia watu.
Hiyo ya kutaka kumwengua Mbowe, siyo kweli.
Unaifahamu Kamati ya Usaili ya Wagombea wa Chadema?Acha kuwafanya watu watoto weee
Lazima umteteeMbowe hahusiki na jambo hili, hata yeye alisailiwa na chupuchupu kukatwa!
Una uhakika na unachokinena??Akwende huko
Wanachukua siri za vikao wanawapa kina Msigwa alafu akibinywa kidogo anatoa yowe...
Aende akawe Mjumbe kamati kuu ya CH huko
Mimi siyo Twaha, umedanganya kijinga sana!Wewe ndio Twaha
Pole sana dogo
Nilikuonya haraka sana
Nakupa onyo la mwisho kabla awajakutupa nungwi uliwe na Papa
Mbowe siyo mjumbe wa Kamati ya UsailiLazima umtetee
Rufaa za akina halima Mdee zilisikilizwa Baada ya miaka 2 😂😂Hakuchagua kupiga kelele mitandaoni, kaamua kuchukua hatua Stahiki