johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbona Yeriko Nyerere kamzodoa sana Lisu na hajachukuliwa hatua yoyoteNidhamu katika chama ni jambo muhimu sana.
Demokrasia lndani ya chama ni lazima iendane na Nidhamu.
Huwei kuanza kuzidoa viongozi wa juu wa chama afu chama kikakuacha.
Usabato umemponza Twaha 😂😂