Pre GE2025 Twaha Mwaipaya akata rufaa Baraza Kuu kupinga kuenguliwa kugombea Ujumbe wa Kamati Kuu

Pre GE2025 Twaha Mwaipaya akata rufaa Baraza Kuu kupinga kuenguliwa kugombea Ujumbe wa Kamati Kuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nidhamu ya kazi ni msingi wa mafanikio bora kazini ,viongozi na wafanyakazi lazima wote TUWE NA nidhamu ,migogoro na migongano makazini ni ukosefu wa NIDHAMU.


View: https://www.youtube.com/watch?v=4JpYv9zx0KA

Bosi kumwambia ukweli sio dhambi, alafu hiyo ni taasisi ya kisiasa umuhimu wake ni mkubwa kuliko hata hizo taasisi unazozijua wewe au kambini kwenu.

Hiyo ni Taasisi ambayo inategemea kuchukua Dola na kuzi-control taasisi zote za Serikali ikiwemo kudhibiti rushwa na ustawi wa Taifa kwa hiyo ni lazima kuwe na watu makini na waliobeba maono ambao watakuwa teyari kukosolewa pindi wanapokosea.
 
Ujumbe wake huu hapa

View attachment 3207373

Binafsi Naunga Mkono jambo hili na Namtakia kila la heri
huna nidhamu, sio muadilifu, una kiburi kwanini usikatwe gentleman.?

rufaa itatupiliwa mbali kwasababu hapatakua na muda wala nafasi kwaajili ya kumjadili mropokaji mwenye majivuno na utovu wa nidhamu kama wewe.

imeisha hiyo :pedroP:
 
Bosi kumwambia ukweli sio dhambi, alafu hiyo ni taasisi ya kisiasa umuhimu wake ni mkubwa kuliko hata hizo taasisi unazozijua wewe au kambini kwenu.

Hiyo ni Taasisi ambayo inategemea kuchukua Dola na kuzi-control taasisi zote za Serikali ikiwemo kudhibiti rushwa na ustawi wa Taifa kwa hiyo ni lazima kuwe na watu makini na waliobeba maono ambao watakuwa teyari kukosolewa pindi wanapokosewa.

Kwahiyo Gwamaka Mwizi wa Magari ya M4C ndiyo mtoa maono? Kwanini genge la Lissu limejikita kuattack viongozi? Hatuwezi kuwapa uongozi REBELS(waasi) wanaweza kupindua nchi kama wakipewa DOLA.
 
Wewe ndiye pekee umefanya jambo kubwa sana, wengine badala ya kuomba kura kwetu Wajumbe wanatukana
Nadhani wanahasira nakuona watu wote mlio makao makao makuu ni watu Wa FAM kwaio wasamehe,ila ninachojua watu wema na wanaokipenda chama bado wapo.
 
Akwende huko

Wanachukua siri za vikao wanawapa kina Msigwa alafu akibinywa kidogo anatoa yowe...

Aende akawe Mjumbe kamati kuu ya CH huko
Yeriko Nyerere anawalisha matango pori sana kwa kujifanya kachero mchongo
 
Back
Top Bottom