LGE2024 Twaha Mwaipaya atikisa Kilombero

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hawawezi kufikisha hao wanachama hata wanachama milioni 5 tu sidhani Kama wanao.

Wangekuwa na idadi kubwa hivyo ya wanachama wasingekuwa wanahangaishwa na polisi.

Wanachama milioni 15 maana yake kwa mwaka wangekusanya ada ya uanachama bilioni 15?
 
Hawawezi kufikisha hao wanachama hata wanachama milioni 5 tu sidhani Kama wanao.

Wangekuwa na idadi kubwa hivyo ya wanachama wasingekuwa wanahangaishwa na polisi.

Wanachama milioni 15 maana yake kwa mwaka wangekusanya ada ya uanachama bilioni 15?
Ukitaka kujuwa uzembe wa viongozi unaanzia wapi, hapa ndipo penye msingi wenyewe. Huenda hata wao hawajui wanao wanachama wangapi. Sitashangaa hilo.

Hata hao milioni 5 kama kweli wanao, na kuwa shirikisha vizuri kwenye maswala ya chama, hali ingekuwa ni tofauti na ilivyo sasa.

Inanisikitisha sana kama John John Mnyika atakuwa mhusika wa uzembe huu, kwa maana namwamini sana John, na kukubali uwezo wake mkubwa alio nao.

Kwa upande huu, kuna kitu hakiko sawa ndani ya CHADEMA.
 
Ni nyinyi wana chama mnao jitambua kutafuta njia ya kuondoa uozo wa viongozi kama hao. Hao ndio wanao kidhoofisha chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…