Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Acheni kudanganya watu unamaanisha asilimia 50 ya watu wazima wote nchini na wanachama wa CDM?Masahihisho- Chadema ina wanachama hai mil 15
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kudanganya watu unamaanisha asilimia 50 ya watu wazima wote nchini na wanachama wa CDM?Masahihisho- Chadema ina wanachama hai mil 15
Hawawezi kufikisha hao wanachama hata wanachama milioni 5 tu sidhani Kama wanao.Unaendelea kunitia huzuni mkuu 'Erytho', kwa taarifa yako kama hii.
Ni kichaa wa aina gani, asiye kuwa na akili kichwani anaye weza kuchezea halaiki ya aina hii, milioni 15.
Hii ni zaidi ya raia wote walioko kwenye nchi, kama Rwanda! Israel, kwani kuna watu wangapi?
Tunalo jeshi la polisi hapa, hata laki mbili hawafiki!
Na kumbuka, hakuna mtu anaye himiza hapa hiyo milioni 15 wakafanye vurugu! Tunasema hivi, kwa nini hiyo milioni 15 ikubali "UHALIFU", kuharibiwa kura zao na kuvurugiwa HAKI zao za kuwachagua viongozi wanao wataka wao?
Kwa nini tusijiulize haya maswali na kuyatafutia ufumbuzi? Kwa nini viongozi wa watu hawa, milioni 15 wasifanye kazi zao kwa karibu zaidi na watu hawa, ili matatizo yanayo wakabiri yashughulikiwe kwelikweli?
Binafsi ninge penda kupata jibu toka huko ndani ya CHADEMA, kuelezwa ugumu hasa upo wapi kutekeleza kazi hiyo.
Ukitaka kujuwa uzembe wa viongozi unaanzia wapi, hapa ndipo penye msingi wenyewe. Huenda hata wao hawajui wanao wanachama wangapi. Sitashangaa hilo.Hawawezi kufikisha hao wanachama hata wanachama milioni 5 tu sidhani Kama wanao.
Wangekuwa na idadi kubwa hivyo ya wanachama wasingekuwa wanahangaishwa na polisi.
Wanachama milioni 15 maana yake kwa mwaka wangekusanya ada ya uanachama bilioni 15?
Ni nyinyi wana chama mnao jitambua kutafuta njia ya kuondoa uozo wa viongozi kama hao. Hao ndio wanao kidhoofisha chama.Erythrocyte Jimboni la Kinondoni litazameni vizuri na leo nilitamani sana kuonana na Boni Yai lakini nilishindwa. Kinondoni na Kawe kuna viongozi wa hovyo mnoo, Mwenyekiti wa Wilaya na wa Mkoa kumbe wana kazi zao nje ya Mkoa, na wakati wote wa kufuatilia rufaa zetu pale Manispaa walikuwa hawaonekani.
Nashangaa leo naambiwa rufaa zetu za Kata ya Makumbusho zipo kwa Mtendaji wa Kata. Angalieni viongozi wa jimbo la Kinondoni ni hovyo mnooo. Mmoja nipo naye whatsaap nilimchana makavu.
Wamezingua sana.
Kilombero wanajitambua sana.Huyu kijana wa Bavicha amefika Kilombero kwa ajili ya kuwanadi wagombea wa Chama chake kwenye Uchaguzi wa serkali za Mitaa
Hali ndio kama mnavyoiona
View attachment 3159913View attachment 3159914
Bado kuna mtu anaitetea CCM?Cdm mtadumu kupambana na CUF lkn kwa CCM mnakwaa kisiki.
CCM haikamatiki
Ni mpumbavu pekee ndio ataamini huo ujingaCdm mtadumu kupambana na CUF lkn kwa CCM mnakwaa kisiki.
CCM haikamatiki
Tumbo njaa worrierK
Keyboard worrier at work!