Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Je Tutanyamazishwa hadi lini?Je jamii iliyo nyamazishwa, ama itakayo nyamazishwa itanyamaza hadi lini, what will be the Future of silent society and how long will the silent society keep quiet , binadamu ana akili sana lakini binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri, akili zake zinakuwa na akili sana akipata changamoto, uncertainty is catalyzed by people deliberately or without their knowledge binadamu hujisabanishia Changamoto kwasababu ya uvivu, ujinga na uzembe lakini mtu mwingine anaweza kusababisha changamoto kwa makusudi ama bila kujua
N
Ndiye mwasisi wa utekaji
[/
ULIMBOKA ALITEKWA NA NANI?
Hadi mavufu yatakapo fanya kazi lakini kwasasa watu wengi mafuvu yameanza kufanyika kazi kila binadamu ni kichaa ukichaa humfika akikasirika sana, (though it is never too late in life)Je Tutanyamazishwa hadi lini?
Yupi Mrema???RIP Shujaa
wapi wamethibitisha? lakini Bashe alishasema tena Bungeni wakati ule, kwamba kuna kundi ndani ya usalama wa taifa wanafanya utekaji...! na ndivyo ilivyo hata sasa, wanawatanguliza polisi lakini mastermind wa huu mchezo ni wao!Hizi ndio kauli muhimu Kwa Sasa.
Bahati nzuri Mahakama na Spika wa Bunge wamethibitisha kuwa watekaji siyo Vyombo vya Usalama. Kwa lugha NYINGINE watekaji ni Magaidi au maharamia au majambazi!!
Tuvisaidie Vyombo!! Ukiitwa nje usitoke kizembe
Hakuna kitu kama hicho...!Mwanasiasa anaweza kutengeneza TAHARUKI ukajaa hasira kifuani....
Hizo ndizo siasa za baadhi ya wanasiasa....
Usiwaamini [emoji817]% kwa kila ASEMALO haswa pale "anapolalamika"....
Imenikumbusha komredi Ali Bananga Mwatiga....kipindi yuko CDM alikuwa na uwezo wa KUANDIKA POST ama kusema neno kali likausisimua mwili na kuweza hata kutafuta mawe ukaenda nayo maandamanoni......
#Tafakari
Nchi hii Shujaa ni Mmoja tu 😄🌹Yupi Mrema???
Uwe kama Mwijaku, Baba Levo na HarmonizeAah mambo gan haya ya kutafutana? Kwahiyo wanatakiwa wanaosifuu tuu kwa kupitiliza??
Ifikie wakati Watanzania waache kuwa kondoo. Kama serikali kupitia jeshi la polisi imekana kuhusika na hivyo vitendo! kwa nini wananchi wasijitetee? Hao watu wakija, piga mapanga tu halafu tuone kama
Juzi tulisikia kutoka kwa police wakisema kuna vijana 20 wameandaliwa kwenda polisi kwa kutumwa na CHADEMA.Mwanasiasa anaweza kutengeneza TAHARUKI ukajaa hasira kifuani....
Hizo ndizo siasa za baadhi ya wanasiasa....
Usiwaamini [emoji817]% kwa kila ASEMALO haswa pale "anapolalamika"....
Imenikumbusha komredi Ali Bananga Mwatiga....kipindi yuko CDM alikuwa na uwezo wa KUANDIKA POST ama kusema neno kali likausisimua mwili na kuweza hata kutafuta mawe ukaenda nayo maandamanoni......
#Tafakari
Mm napenda yatokee kwa sababu wenye hayo mamlaka hawajali na ndio washukiwa wa mipango hiyo.Haya mambo wenye mamlaka wanaweza kuona ni masihara lakini tunaweza kugeuka mexico au colombia kwa abduction na enforced disappearance.
Lakini na ninyi upinzani si make kwa Siri muwawinde yaani mafwele anajulikana mnashindwa kumdatilia now days ifike kipindi mjue wananchi wengi hawajui yanayoendelea mengi yafahamika mtandaoni mjihami kwa silaha kufa na kupona msidanganywe na simu au watu pale mnapogundua mtatekwa, mjihami.Kama mmepanga kuniteka msitumie nguvu kubwa mpaka kuja nyumbani kwangu na kudanganya mambo mengi, najua hakuna atakae ishi milele ila endapo mtatoa roho yangu wapeni fursa ndugu zangu ya kuzika mwili wangu, yule kijana mliemtuma jana saa 5:00 asubuhi alievaa kapero na T-shirt nyekundu mwambieni asirudi tena nyumbani kwangu tutagawana majengo ya Serikali.
Kikosi kazi cha Utekaji na Mauaji ya Wanaoikosoa Serikali ya CCM, Kinachoongozwa na Faustin Mafwele (Kama tulivyodokezwa na Freeman Mbowe), Kingali kazini.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Dar es Salaam kuna kikosi kazi cha utekaji
Anayefuatia kutekwa na kuuawa ni Kiongozi wa Bavicha mwenye Ushawishi Twaha Mwaipaya .
Lakini Je, Wataua Wangapi na wao wataishi hadi lini?
Kila Ubaya UtalipwaNa wengi wa waliotekwa na kupotezwa walitoa taarifa kama sio tahadhari ila ndo hivyo jeshi letu wala huwa halishughuliki na hizo taarifa wala zaidi ya kukana kuwa hawahusiki na mikwala kibao