Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Mpaka atekwe babako au Mamako ndo utaelewa kama ni drama au uhalisiaDrama hizi
Miaka ile Prof LIpumba aliagiza vijana wake waingie jim wapige chuma kwa utayari wa mapambano! Kumbe kipindi chenyewe ndicho hiki!Kama mmepanga kuniteka msitumie nguvu kubwa mpaka kuja nyumbani kwangu na kudanganya mambo mengi, najua hakuna atakae ishi milele ila endapo mtatoa roho yangu wapeni fursa ndugu zangu ya kuzika mwili wangu, yule kijana mliemtuma jana saa 5:00 asubuhi alievaa kapero na T-shirt nyekundu mwambieni asirudi tena nyumbani kwangu tutagawana majengo ya Serikali.
Kikosi kazi cha Utekaji na Mauaji ya Wanaoikosoa Serikali ya CCM, Kinachoongozwa na Faustin Mafwele (Kama tulivyodokezwa na Freeman Mbowe), Kingali kazini.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Dar es Salaam kuna kikosi kazi cha utekaji
Anayefuatia kutekwa na kuuawa ni Kiongozi wa Bavicha mwenye Ushawishi Twaha Mwaipaya .
alikemea utekaji kwani?RIP Shujaa
Kwa kweli aisee, kila mtu alale na panga ndani kwake, akija yeyote awe ma kitambulisho au asiwe nacho, ni kuoiga panga tu..Ifikie wakati Watanzania waache kuwa kondoo. Kama serikali kupitia jeshi la polisi imekana kuhusika na hivyo vitendo! kwa nini wananchi wasijitetee? Hao watu wakija, piga mapanga tu halafu tuone kama utashitakiwa.
Alikemea.alipotekwa MO wa Wekundu wa Msimbazialikemea utekaji kwani?
Mkuu Muogope MunguAlikemea.alipotekwa MO wa Wekundu wa Msimbazi
Waliompoteza na wao muda ukifika watapotezwa tu.Wewe hata huna unaloelewa.kwahiyo unamsihi twaha apambanie kufa ili miendelee kulalamika mtandaon?
Hivi kwa jinsi mlivyo mazezeta mtaanza ooh ulimwengu wa kimataifa ooh misaada isitishwe.hivi ulimwengu huu ulivyojaa mabepari unadhan kuna wakukusikia?
Masikini kijana Soka amepotea na kuiacha familia kwenye mateso huku wenzie wakiwa weekend majumbani mwao wanachoma kuku kwa mrija.
Sawa pambana ili wakuteke alafu wenzio waweke bundle kukutetea Jf na X
Muulize Simba Guvu Moya atakusimulia 😄Mkuu Muogope Mungu
Tunamkumbuka.RIP Shujaa
Mjomba huteki watu ?Mwanasiasa anaweza kutengeneza TAHARUKI ukajaa hasira kifuani....
Hizo ndizo siasa za baadhi ya wanasiasa....
Usiwaamini [emoji817]% kwa kila ASEMALO haswa pale "anapolalamika"....
Imenikumbusha komredi Ali Bananga Mwatiga....kipindi yuko CDM alikuwa na uwezo wa KUANDIKA POST ama kusema neno kali likausisimua mwili na kuweza hata kutafuta mawe ukaenda nayo maandamanoni......
#Tafakari
Kama mmepanga kuniteka msitumie nguvu kubwa mpaka kuja nyumbani kwangu na kudanganya mambo mengi, najua hakuna atakae ishi milele ila endapo mtatoa roho yangu wapeni fursa ndugu zangu ya kuzika mwili wangu, yule kijana mliemtuma jana saa 5:00 asubuhi alievaa kapero na T-shirt nyekundu mwambieni asirudi tena nyumbani kwangu tutagawana majengo ya Serikali.
Kikosi kazi cha Utekaji na Mauaji ya Wanaoikosoa Serikali ya CCM, Kinachoongozwa na Faustin Mafwele (Kama tulivyodokezwa na Freeman Mbowe), Kingali kazini.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Dar es Salaam kuna kikosi kazi cha utekaji
Anayefuatia kutekwa na kuuawa ni Kiongozi wa Bavicha mwenye Ushawishi Twaha Mwaipaya .
Lakini Je, Wataua Wangapi na wao wataishi hadi lini?
Ishu sio kufa.kila mtu atakufaWaliompoteza na wao muda ukifika watapotezwa tuition
Na kwa nini vijana wauawe na wenye mamlaka wakati mahakama zipo,polisi wapo,magereza yapo?Ishu sio kufa.kila mtu atakufa
Kinachoumiza kwanini wanakufa vijana alafu hakuna hatua thabiti toka kwa wenzao zaid ya vijikelele vya mtandao
Hii nchi ni amani tupu tunaendelea kufanya shughuli za kujiongezea kipato hakuna hatari yoyote tumeiona huku ,labda ulipo weweHii nchi sasa ni hatari kuishi.
Mwanamke yupi aliwahi kutekwa?Siku akitekwa mamaako Mzazi ndio utaelewa haya mambo
Yote hii ni kumuogopa Awadh Haji na Faustin Mafwele?Ni vizuri viongozi wa vyama vya siasa hasa CHADEMA wakaamua kuachana na siasa za upinzani/mbadala na kumwelekeza msajili kufuta chama chao kwa manufaa ya wanachama wao wanaosemekana kutafutwa na hao watu wasiojulikana.
Na kama wataona inafaa kwa pamoja watangaze kujiunga na CCM kupitia Mkutano wao mkuu,kwa kuwa ili kuiondoa CCM madaraka ni sharti uwe ndani yake.
Soviet ilivunjika mwaka 1990,lakini leo iko juu kiuchumi na ushawishi katika Dunia kuliko vile ilivyokuwa zamani,wanasiasa wale wale hawawezi kutumika Kila siku kuiondoa CCM madaraka.
Vyama vya siasa viwekeze siasa zao kwa planning za muda mrefu,ikiwezekana wawe sehemu ya wenye maamuzi kuliko kubaki nje.
Sio dhambi kutafuta alternative za kushika Dola hata kama zitachukua muda mrefu ili mradi zisivuruge amani ya Nchi na Maendeleo.
Siku zote wananchi hawaitaji maneno matupu wanahitaji Maendeleo ya vitu vinavyoonekana na sio porojo na malalamiko ya wanasiasa.