Twaha Mwaipaya: Nimejiridhisha kwa 100% kwamba nafuatiliwa na watu wabaya, wenye malengo mabaya dhidi yangu

Twaha Mwaipaya: Nimejiridhisha kwa 100% kwamba nafuatiliwa na watu wabaya, wenye malengo mabaya dhidi yangu

Mimi nakushauri ukihisi nyendo zisizoeleweka jitahidi umiliki silaha yeyote hata kama siyo ya moto.lakini ya moto itapendeza zaidi.mfano kama una gari kusikosekane kitu chochote cha ncha Kali kama panga,sime au mkuki mdogo ambao ikitokea huyo mtekaji akakuvizia kwenye gari malizana Naye hapohapo. Na ujitahidi kuwashirikisah watu wako wa karibu kuwa tayari muda wote .Tanzania bila utekaji wa policcm inawezekana.
 
Kama mmepanga kuniteka msitumie nguvu kubwa mpaka kuja nyumbani kwangu na kudanganya mambo mengi, najua hakuna atakae ishi milele ila endapo mtatoa roho yangu wapeni fursa ndugu zangu ya kuzika mwili wangu, yule kijana mliemtuma jana saa 5:00 asubuhi alievaa kapero na T-shirt nyekundu mwambieni asirudi tena nyumbani kwangu tutagawana majengo ya Serikali.

Kikosi kazi cha Utekaji na Mauaji ya Wanaoikosoa Serikali ya CCM, Kinachoongozwa na Faustin Mafwele (Kama tulivyodokezwa na Freeman Mbowe), Kingali kazini.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Dar es Salaam kuna kikosi kazi cha utekaji

Anayefuatia kutekwa na kuuawa ni Kiongozi wa Bavicha mwenye Ushawishi Twaha Mwaipaya .

Miaka ile Prof LIpumba aliagiza vijana wake waingie jim wapige chuma kwa utayari wa mapambano! Kumbe kipindi chenyewe ndicho hiki!
- Watakaoweza kupiga vyuma Jim wafanye hivyo
-Tutembee na silaha kila wakati na kila mahali
  • Usimwamini yeyote au wito wowote hasa usiku!
  • Uwe na filimbi tayari kupuliza na kulia mwizi wakati wowote.
Kwa yale makabila yetu tunajijua vilio vya kutoa alarm vinavyoamsha kila mtu!! APPLY
 
Ifikie wakati Watanzania waache kuwa kondoo. Kama serikali kupitia jeshi la polisi imekana kuhusika na hivyo vitendo! kwa nini wananchi wasijitetee? Hao watu wakija, piga mapanga tu halafu tuone kama utashitakiwa.
Kwa kweli aisee, kila mtu alale na panga ndani kwake, akija yeyote awe ma kitambulisho au asiwe nacho, ni kuoiga panga tu..
 
Wewe hata huna unaloelewa.kwahiyo unamsihi twaha apambanie kufa ili miendelee kulalamika mtandaon?

Hivi kwa jinsi mlivyo mazezeta mtaanza ooh ulimwengu wa kimataifa ooh misaada isitishwe.hivi ulimwengu huu ulivyojaa mabepari unadhan kuna wakukusikia?

Masikini kijana Soka amepotea na kuiacha familia kwenye mateso huku wenzie wakiwa weekend majumbani mwao wanachoma kuku kwa mrija.

Sawa pambana ili wakuteke alafu wenzio waweke bundle kukutetea Jf na X
Waliompoteza na wao muda ukifika watapotezwa tu.
 
Mwanasiasa anaweza kutengeneza TAHARUKI ukajaa hasira kifuani....

Hizo ndizo siasa za baadhi ya wanasiasa....

Usiwaamini [emoji817]% kwa kila ASEMALO haswa pale "anapolalamika"....

Imenikumbusha komredi Ali Bananga Mwatiga....kipindi yuko CDM alikuwa na uwezo wa KUANDIKA POST ama kusema neno kali likausisimua mwili na kuweza hata kutafuta mawe ukaenda nayo maandamanoni......

#Tafakari
Mjomba huteki watu ?
 
Kama mmepanga kuniteka msitumie nguvu kubwa mpaka kuja nyumbani kwangu na kudanganya mambo mengi, najua hakuna atakae ishi milele ila endapo mtatoa roho yangu wapeni fursa ndugu zangu ya kuzika mwili wangu, yule kijana mliemtuma jana saa 5:00 asubuhi alievaa kapero na T-shirt nyekundu mwambieni asirudi tena nyumbani kwangu tutagawana majengo ya Serikali.

Kikosi kazi cha Utekaji na Mauaji ya Wanaoikosoa Serikali ya CCM, Kinachoongozwa na Faustin Mafwele (Kama tulivyodokezwa na Freeman Mbowe), Kingali kazini.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Dar es Salaam kuna kikosi kazi cha utekaji

Anayefuatia kutekwa na kuuawa ni Kiongozi wa Bavicha mwenye Ushawishi Twaha Mwaipaya .


Lakini Je, Wataua Wangapi na wao wataishi hadi lini?

Jamani si ndo nyie mlikuwa mnasema nchi imefunguliwa? Huku mnacheza mkasema sasa mtalala milango wazi.
😛
 
Yani mtu anaetaka kukuteka aje akuulizie nyumbani? Mtakuja kuua hata wazoa taka kwa uoga wa kijinga
 
Ni vizuri viongozi wa vyama vya siasa hasa CHADEMA wakaamua kuachana na siasa za upinzani/mbadala na kumwelekeza msajili kufuta chama chao kwa manufaa ya wanachama wao wanaosemekana kutafutwa na hao watu wasiojulikana.
Na kama wataona inafaa kwa pamoja watangaze kujiunga na CCM kupitia Mkutano wao mkuu,kwa kuwa ili kuiondoa CCM madaraka ni sharti uwe ndani yake.
Soviet ilivunjika mwaka 1990,lakini leo iko juu kiuchumi na ushawishi katika Dunia kuliko vile ilivyokuwa zamani,wanasiasa wale wale hawawezi kutumika Kila siku kuiondoa CCM madaraka.
Vyama vya siasa viwekeze siasa zao kwa planning za muda mrefu,ikiwezekana wawe sehemu ya wenye maamuzi kuliko kubaki nje.
Sio dhambi kutafuta alternative za kushika Dola hata kama zitachukua muda mrefu ili mradi zisivuruge amani ya Nchi na Maendeleo.
Siku zote wananchi hawaitaji maneno matupu wanahitaji Maendeleo ya vitu vinavyoonekana na sio porojo na malalamiko ya wanasiasa.
 
Ni vizuri viongozi wa vyama vya siasa hasa CHADEMA wakaamua kuachana na siasa za upinzani/mbadala na kumwelekeza msajili kufuta chama chao kwa manufaa ya wanachama wao wanaosemekana kutafutwa na hao watu wasiojulikana.
Na kama wataona inafaa kwa pamoja watangaze kujiunga na CCM kupitia Mkutano wao mkuu,kwa kuwa ili kuiondoa CCM madaraka ni sharti uwe ndani yake.
Soviet ilivunjika mwaka 1990,lakini leo iko juu kiuchumi na ushawishi katika Dunia kuliko vile ilivyokuwa zamani,wanasiasa wale wale hawawezi kutumika Kila siku kuiondoa CCM madaraka.
Vyama vya siasa viwekeze siasa zao kwa planning za muda mrefu,ikiwezekana wawe sehemu ya wenye maamuzi kuliko kubaki nje.
Sio dhambi kutafuta alternative za kushika Dola hata kama zitachukua muda mrefu ili mradi zisivuruge amani ya Nchi na Maendeleo.
Siku zote wananchi hawaitaji maneno matupu wanahitaji Maendeleo ya vitu vinavyoonekana na sio porojo na malalamiko ya wanasiasa.
Yote hii ni kumuogopa Awadh Haji na Faustin Mafwele?
 
Back
Top Bottom