Twaha Mwaipaya: Nimejiridhisha kwa 100% kwamba nafuatiliwa na watu wabaya, wenye malengo mabaya dhidi yangu

Hii nchi ni amani tupu tunaendelea kufanya shughuli za kujiongezea kipato hakuna hatari yoyote tumeiona huku ,labda ulipo wewe
Nape alikuwa na kiburi kuliko wewe hadi alipotolewa Bastola hadharani kwa Maagizo ya Makonda, endelea
 
Yote hii ni kumuogopa Awadh Haji na Faustin Mafwele?
Sio sio uoga Mkuu,kuanza upya sio shida.
Tatizo lilianza pale wanasiasa waliposahau Mali za CCM kurudishwa Serikalini baadae ya kupitishwa rasmi kwa mfumo wa vyama vingi.
 
Hakika Kwa jina la Yesu Kristo hautakufa bali utaishi.

Na hao wanakufatilia Nyumba zao na za Baba zao Mungu azigeuze kuwa jaa la moto.
 
Kwani nani kakukataza kuanzisha chama chenye nguvu kuliko CHADEMA ili uiondoe CCM maana makombora unairushia CHADEMA wakati na wewe una uwezo wa kuanzisha chama.
 
Atekwe kwa lipi? Acheni siasa uchwara.
 
Hatari sana lakni haya mambo kuna walioanzisha na ubaya unawarudi
 

Attachments

  • SIRI_IMEFICHUKA_UKWELI_MTUPU__ALIYETEKWA__AWATAJA_WATEKAJI_NA_MBINU_ZA_UTEKAJI(360p).mp4
    94.8 MB
Ifikie wakati Watanzania waache kuwa kondoo. Kama serikali kupitia jeshi la polisi imekana kuhusika na hivyo vitendo! kwa nini wananchi wasijitetee? Hao watu wakija, piga mapanga tu halafu tuone kama utashitakiwa.
Ahahahahaha! Wewe ushapiga wangapi hayo mapanga!? Au ndio ule "utemi wa JF at work! Ahahahahaha!!!
 
Watanzania tuamke au sivyo tutakwisha wote
 
Utapiga watu mapanga bila ya sababu siyo! Halafu nimetoa tu mapendekezo/ushauri. Sasa huo utemi wa JF at work uko wapi kwenye maelelezo yangu?
Ahahahahaha! Mange Kimambi anawafahamu uzuri watu kama nyie. Ahahahahaha! Vitisho viiiingi JF, lakini kwenye reality Sasa, mnajua kabisa Serikali ipo na ipo imara! Ahahahahaha!!!
 
"We were forced to install the Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe ('MK') within ANC because the Whites Minority Government of South Africa was terrorising us (ANC) by using the State Security Forces."

Oliver Reginard Kaizana Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967-1993.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…